Dizasta vina au Nash ni wasanii wanaofanya muziki mgumu kutoka kwa lugha isiyofahamika na wengi.
.
Tanzania haina msingi mzuri wa Hip hop, Rosa ree huyu hapa anafanya kwa kizungu na Kiswahili kapepea sasa ni international Singer, anawashirikisha wasanii wa aina tofauti tofauti hata usipomuelewa utapenda melody.
.
Kuna mtu anaitwa Phyno na Sarkodie hawa wote wanaimba kwa lugha za makabila yao ila wamepenyaa kwa sababu waliwashirikisha wasanii wakubwa, video wanafanya kali, melodies kali.
.
Nash Mc atamshirikisha Songa, Songa atamshirikisha Gifted son, Gifted son atamshirikisha Kimbunga, Kimbunga atamshirikisha Kalapina, Kalapina atamshirikisha Rais wa magwangala, Rais atamshirikisha One the incredible, One atamshirikisha Nik mbishi, Nik atamshirikisha Gheto ambassador, Geto anamcheki mansulii alafu wataaanza kujirudia hivyo hivyo