MTVBASE east kimetumia lisaa 1 kupiga ngoma za diamond

MTVBASE east kimetumia lisaa 1 kupiga ngoma za diamond

Mtu anakuambia kiswahili ni lugha ambayo haivutii kutangaza kazi zako ki international, halafu tunamuona hadi beyonce kaweka maneno ya kiswahili katika nyimbo yake.

Pia american got talent kuna wazungu waliimba nyimbo ya dini kwa kiswahili hadi mimi nisiyeamini mambo ya dini niliikubali ile nyimbo kama hiyo haitoshi kuna malengends kama michael jackson wanaojulikana kidunia na wenye record kubwa kuzidi pimbi yeyote unayemjua ana ngoma yake ya Liberian girl aliyoweka vionjo vya kiswahili ndani yake halafu leo anakuja mpogoro anasema kiswahili sio lugha makini katika international

Juzi hapo joyner lucas katoa wimbo na tory lanez katika verse zake kapachika maneno ya kiswahili "hakuna matata" na hili neno limekua trend sana huko ughaibuni kuliko hata sisi wenye lugha yetu
 
Kwenye miziki inayotumia vyombo mashairi yana nafasi ndogo sana
Kikibwa ni utayatumiaje hayo mashairi yako kuendana na melody ya wimbo
Kinacho vuta zaidi kwenye hii miziki ni melody
 
6B haingii akilini..Dunia ina watu 7B..na wenye access ya internet hawafikii 2B..go figure
 
Mtu anakuambia kiswahili ni lugha ambayo haivutii kutangaza kazi zako ki international, halafu tunamuona hadi beyonce kaweka maneno ya kiswahili katika nyimbo yake.

Pia american got talent kuna wazungu waliimba nyimbo ya dini kwa kiswahili hadi mimi nisiyeamini mambo ya dini niliikubali ile nyimbo kama hiyo haitoshi kuna malengends kama michael jackson wanaojulikana kidunia na wenye record kubwa kuzidi pimbi yeyote unayemjua ana ngoma yake ya Liberian girl aliyoweka vionjo vya kiswahili ndani yake halafu leo anakuja mpogoro anasema kiswahili sio lugha makini katika international

Juzi hapo joyner lucas katoa wimbo na tory lanez katika verse zake kapachika maneno ya kiswahili "hakuna matata" na hili neno limekua trend sana huko ughaibuni kuliko hata sisi wenye lugha yetu
Damian Marley pia (kama sijasahau jina la msanii).

Kuna wimbo amechomekea maneno kadhaa ya kiswahili.
 
Mkuu mimi ndio maana nimebakiza nyimbo za zamani tu
Kiukweli ukweli ndio huo japo watu hawapendi kuusikia

Diamond kipindi anaforce kutoka alikua anaimba fact sana, mfano ile ngoma ya nitarejea ina madini ambayo yaliendana na jina lake.

Ila alivyotoka tu amekua akitumia jina lake no matter ataimba nini anajua watu watapenda tu
 
Kiukweli ukweli ndio huo japo watu hawapendi kuusikia

Diamond kipindi anaforce kutoka alikua anaimba fact sana, mfano ile ngoma ya nitarejea ina madini ambayo yaliendana na jina lake.

Ila alivyotoka tu amekua akitumia jina lake no matter ataimba nini anajua watu watapenda tu
Kama diamond angeimba muziki wake Kama zamani sizani Kama angekuwa msanii mkubwa Africa zaidi angeishia kuwa mkubwa hapa hapa bongo.
 
Kama diamond angeimba muziki wake Kama zamani sizani Kama angekuwa msanii mkubwa Africa zaidi angeishia kuwa mkubwa hapa hapa bongo.
Kipaji hakijifichi, kama alifanya hivyo kwa hisani ya promo au kusikika hewani tutasemaje kua nikipaji? Kama hakuweza kutoka katika ule mfumo ambao nyimbo zake zilikua zina ujumbe wa maana utasemaje anakipaji?
 
Kipaji hakijifichi, kama alifanya hivyo kwa hisani ya promo au kusikika hewani tutasemaje kua nikipaji? Kama hakuweza kutoka katika ule mfumo ambao nyimbo zake zilikua zina ujumbe wa maana utasemaje anakipaji?
Kwanza kabisa sijakuelewa jibu lako ila nitajitahidi nikazie point yangu ngojea nikupe story fupi kwanini diamond alibadilishe kidogo aina ya mziki wakati diamond akiiteka east Africa na ngoma Kali Kama mbagala,binadan,nalia na mengi,mawazo,kesho,nataka kulewa akaamini ni msanii mkubwa Africa so akaamua aende south Africa kufanya show wakati anatua south hakuna hata mtu aliyeonesha kumshobokea lakini pia show yake alipata watu 20 tu na wengi wao walikuwa wabongo hapa ndio ilimfanya diamond aone mziki alikuwa anafanya wa ujumbe ukitoa east Africa kwengine hawamuelewi kutokana na hivyo ikamlazima abadilike kwa kipindi Fulani awe baadhi ya nyimbo aimbe kwa ajili ya soko la ndani na nyingine kwaajili ya soko la kimataifa kutokana na masoko haya mawili kuwa na uhitaji watofauti.Tokea hapo diamond akawa kwenye level ya juu.
 
Back
Top Bottom