MTVBASE east kimetumia lisaa 1 kupiga ngoma za diamond

bila shaka wewe ndo Nas Mc mwenyewe
 
Hahaha you made my day
 
Mkuu mimi ndio maana nimebakiza nyimbo za zamani tu
Kuna upuuzi mwingine kutoka WCB unaitwa "chuchumaa" wa rayvanny. Yaani hii bongo fleva siku hizi ni upuuzi mtupu full Matusi halafu watu wanasema mziki wetu unakuwa.

Hongera sana kwa kuskiliza ngoma za zamani na hizo ndio ngoma za kuskiliza.
 
Kwangu mimi ukiniuliza ngoma kali ya muda wote kutoka kwa bwana Alimasi ni hiyo Nitarejea. Kwanzia audio mpaka video kila kitu kimetulia, kwanzia maudhui mpaka melody vyote vimepangika na anaimba huku ametulia kabisa.

Nitarejea ni moja wapo ya ngoma ambazo sijawahi kabisa kuchoka kuziskilza, tofauti na hizi ambazo anazikanyaga kanyaga tu siku hzi zinazodumu maskioni mwa watu kwa miezi kadhaa.
 
Daah.. Nimefurahishwa sana na Joyner Lucas kutumia maneno ya kiswahili kwenye track yake, lakini pia nimeumizwa na maneno yenyewe aliyotumia"hakuna matata" hili neno linatumika sana Kenya na hapo ni kama amewapa shavu wakenya na hii itazidi kuiaminisha dunia kuwa kiswahili ni cha wakenya.
 
Mtu kama Joyner Lucas hata ngoma yake isipokuwa na beat bado utairudia rudia kuiskiliza, kwa watu wasiomfuatilia wala kumjua huyu mshikaji wanakosa vitu adimu sana kwenye hip hop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…