Mtwara: Ajichoma moto Baada ya Kumfumania mke wake

Mtwara: Ajichoma moto Baada ya Kumfumania mke wake

Jasusi Mbobezi

Senior Member
Joined
May 17, 2020
Posts
195
Reaction score
851
Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.

Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.

Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
 
Upumbavu ulioshindikana

Haya kafa kamuachia jamaa mke aendelee.

Waafrika sisi akili bado sana.

Unamchukulia mwenza wa ndoa kama kiungo cha mwili wako, wakati mmekutana kila mtu na akili zake.

I dare not to harm anyone based on their own informed decisionkama amekushinda chukua mwingine mzee life is short.
 
Mimi nikimfumania mkewangu Namuambia What's the hell you fu#@*n doing.

Alafu namwambia akakae kwao kwanza hata miemzi mitatu ili issue ipoepoe kidogo angalau majirani wasahau kidogo.
Maana najua maamuzi mengine magumu tunafanyaga sababu ya aibu kwamba watu watanionaje nasio kwaajili yetu.


R.I.P Mmakonde.
 
Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.

Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.

Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
Bora amejiua yeye kuliko angemuua mkewe.
 
Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.

Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.

Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
Huyo siyo mmakonde halisi.
Mmakonde angemwambia mngoni wake-
Chichicheme wala chichimumunye....!
Uchilamba nchale....uchitema nchale.....!
 
Mimi nikimfumania mkewangu Namuambia What's the hell you fu#@*n doing.

Alafu namwambia akakae kwao kwanza hata miemzi mitatu ili issue ipoepoe kidogo angalau majirani wasahau kidogo.
Maana najua maamuzi mengine magumu tunafanyaga sababu ya aibu kwamba watu watanionaje nasio kwaajili yetu.


R.I.P Mmakonde.
Mimi wala siugui!
Namcheki dame wangu, mradi mali zipo pale pale, na mngoni hakuondoka nazo, namwambiwa waifu, hebu twende tuka try kama mngoni ameondoka na butamu wote au la!!
 
Back
Top Bottom