Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo jamaa ni Chadema.
Hawa ndio maana Necta hawajatoa Last ten!Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.
Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.
Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
Matokeo ya talaka na kugawana Mali pasu pasu!Severe depression
Kuna papuchi ni extra tasty.Hahaha hili jamaaa litakuwa fala sana papuchii zote hizi zilizojaa unajilipua
Atakuwa mlokole tu
Naomba namba ya mkeo nimfikishie huu ujumbe wakoMimi nikimfumania mkewangu Namuambia What's the hell you fu#@*n doing.
Alafu namwambia akakae kwao kwanza hata miemzi mitatu ili issue ipoepoe kidogo angalau majirani wasahau kidogo.
Maana najua maamuzi mengine magumu tunafanyaga sababu ya aibu kwamba watu watanionaje nasio kwaajili yetu.
R.I.P Mmakonde.
Do you believe in the NBS?Kutokana na ripoti ya NBS ya mwaka Jana 2020 Tanzania ilikuwa na Jumla ya Wanawake 38,764,857 wakati wanaume walikuwa ni 19,849,652
Kwa takwimu hizo unaona Mwanaume Mmoja anatakiwa kuoa wake almost 2 hadi 3.
Kwanini ujitoe roho kisa Mwanamke wakati kuna wengine wamebaki zaidi 3 wanamsubiri??
Tangulia Mhenga, umemwacha Mke mrembo ili watu waendelee kujisevia
Kwenye hiyo idadi ya wanawake kuna ndugu zako pia ujue mkuu?Kutokana na ripoti ya NBS ya mwaka Jana 2020 Tanzania ilikuwa na Jumla ya Wanawake 38,764,857 wakati wanaume walikuwa ni 19,849,652
Kwa takwimu hizo unaona Mwanaume Mmoja anatakiwa kuoa wake almost 2 hadi 3.
Na Tabora...Watu wa Mtwara hua hawana wivu, wivu ni ugonjwa wa Mara, Mwanza, Geita, Simiyu, Iringa na makao makuu Tanga.
Chukulia ndugu zake wa kike hapo wako 15,000 manake ana option za kuoa 37 million.Kwenye hiyo idadi ya wanawake kuna ndugu zako pia ujue mkuu?
Kabisa hawa ukiishi nao ishi kwa machaleWaswahili husema mkeo sio ndugu yako.
Mke wako sio ndugu yako. Bali watoto utakaozaa naye ndio ndugu zako. Je, kauli kama hii ina ukweli wowote ndani yake?
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu JamiiForums. Mimi mdogo wenu wa mwisho (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; Huku mtaani ninapoishi inasemekana na watu wamekuwa wakiongea kwa muda mrefu sana ya kuwa; Mke wako sio...www.jamiiforums.com