Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au anasema uongo jamani?Aaawapi
Tulishawaambia WASIOE ila HAWASIKIII!Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.
Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.
Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
Acha hizoHuyo jamaa ni Chadema.
Nawewe hebuweka kiswahili chako vizuri, sema MGONI, sio MNGONI.Mimi wala siugui!
Namcheki dame wangu, mradi mali zipo pale pale, na mngoni hakuondoka nazo, namwambiwa waifu, hebu twende tuka try kama mngoni ameondoka na butamu wote au la!!
Nyinyi ndio mnasababisha watu wanajiuwa nyinyi.Naomba namba ya mkeo nimfikishie huu ujumbe wako
Ohhh maskini too badMtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.
Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.
Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
You are right but ni wachache uki compare na total women population tuliyonayo kama nchi.Kuna ambao sio ndugu zako lakini ni wazee na watoto
Upumbavu ulioshindikana
Haya kafa kamuachia jamaa mke aendelee.
Waafrika sisi akili bado sana.
Unamchukulia mwenza wa ndoa kama kiungo cha mwili wako, wakati mmekutana kila mtu na akili zake.
I dare not to harm anyone based on their own informed decisionkama amekushinda chukua mwingine mzee life is short.
Chakufia usingizini mkuuKifo kizuri kinakuwaje mkuu?
Mkuu,Hii comment yako iko very objective.Ila Katika Human Psychology rules zinabadilika kabisa.Kwa Taarifa yako hata wewe unaweza kujikuta umesahau kwamba hii comment ni yako.Ukajikuta unafanya maamuzi kama ya huyo bwana.Upumbavu ulioshindikana
Haya kafa kamuachia jamaa mke aendelee.
Waafrika sisi akili bado sana.
Unamchukulia mwenza wa ndoa kama kiungo cha mwili wako, wakati mmekutana kila mtu na akili zake.
I dare not to harm anyone based on their own informed decisionkama amekushinda chukua mwingine mzee life is short.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu aende mbinguni moja kwa moja, maana mjinga mwingine angeua mke au mgoni wake. Kama kutoa talaka huwezi, bora kujiondoa tu wat waendelee na maisha yao.
Jamaa hakutaka shida na fedheha hapa duniani, aanze kuliza watu wengine wasio na hatua. Kaondoka zake kiroho safi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo huo ujumbe uliutoa kujifurahisha au upo serious?Nyinyi ndio mnasababisha watu wanajiuwa nyinyi.