Mtwara: Ajichoma moto Baada ya Kumfumania mke wake

Mtwara: Ajichoma moto Baada ya Kumfumania mke wake

Do you believe in the NBS?
Wanakuambia mfumuko wa Bei Ni asilimia 5 wakati wewe mwenyewe kwa macho yako unaona Bei ya mafuta ya kupikia imeota mbawa, siment mpaka polisi ikaingilia Kati. Sukari
Ndiyo hivyo Mkuu, but ndiyo wamepewa mamlaka ya takwimu zote Tanzania
 
Dah! Jamaa walau angepitia ule uzi wa kutupia picha za warembo world wide, angefarijika sana na kuachana na hilo wazo ovu.
 
Kwa hiyo Wamakonde mmekuwa wa ovyo kiasi hiki siku hizi?
 
Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.

Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.

Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
Jinga lao
 
Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake.

Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya marehemu kumfumania mke wake takribani wiki moja iliyopita ambapo baada ya tukio hilo marehemu hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua.

Kabla ya umauti wake mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala daktari Joseph Fwoma amethibitisha kumpokea Chikwisu na wakati anapatiwa matibabu alifariki dunia, Dkt Joseph amesema marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni
Sishangai kwanini wengine wanashindwa kuyamudu maumivu yanayohisiana na changamoto za kimapenzi.

Mapenzi yanauma Sana pale unapotegemea hivi alafu ikawa kinyume chake nawe ulishapenda dah!

RIP marehemu na pole kwa watoto aliowaacha
 
Jamani usimcheke mtu aliyependa huwezi jua nyuma ya pazia/ nyuma ya tukio hilo kuna nini? Kuna kupenda kwingine Sio kwa ufahamu wako wamakonde najua mmenielewa,,
Ukimuona mtu kajiua kwasababu ya mapenzi mpe pole tu,,,
Inaweza kuwa ni upendo tu alimwamini kupita kiasi,, au akifikiria zile Judo ambazo huwa anapewa kwenye 6x6,, au hapo kabla hajamuoa, picha yake ilishapelekwa Kijijini kwa Babu Sana tu kukoleza mapenzi, Sasa ukute ushatengenezwa alafu ufumanie,,,
Kwahiyo tusipende kuhukumu mambo kwa kuyaangalia juu juu tu. Hata yeye alikuwa ana akili kama zako.
Nakubaliana nawe mkuu
 
Huyo jamaa ni Chadema.
Unategemea kukua lini ili tukuandalie ngoma na matarumbeta ya kushabikia kukua kwako? Punguza utoto kwenye issue serious! Na hao cdm haiyumkini unawakubali Sana moyoni Ila kwa nmaa uliyonayo unawananga mchana ili ushibe!
 
Back
Top Bottom