Mtwara: Ajichoma moto Baada ya Kumfumania mke wake

Do you believe in the NBS?
Wanakuambia mfumuko wa Bei Ni asilimia 5 wakati wewe mwenyewe kwa macho yako unaona Bei ya mafuta ya kupikia imeota mbawa, siment mpaka polisi ikaingilia Kati. Sukari
Ndiyo hivyo Mkuu, but ndiyo wamepewa mamlaka ya takwimu zote Tanzania
 
Dah! Jamaa walau angepitia ule uzi wa kutupia picha za warembo world wide, angefarijika sana na kuachana na hilo wazo ovu.
 
Kwa hiyo Wamakonde mmekuwa wa ovyo kiasi hiki siku hizi?
 
Jinga lao
 
Sishangai kwanini wengine wanashindwa kuyamudu maumivu yanayohisiana na changamoto za kimapenzi.

Mapenzi yanauma Sana pale unapotegemea hivi alafu ikawa kinyume chake nawe ulishapenda dah!

RIP marehemu na pole kwa watoto aliowaacha
 
Nakubaliana nawe mkuu
 
Huyo jamaa ni Chadema.
Unategemea kukua lini ili tukuandalie ngoma na matarumbeta ya kushabikia kukua kwako? Punguza utoto kwenye issue serious! Na hao cdm haiyumkini unawakubali Sana moyoni Ila kwa nmaa uliyonayo unawananga mchana ili ushibe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…