Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

Hiyo hela ndefu inabid mmoja atolewe kafara kwanza
 
Mimi nilikaa MAHABUSU pale madale.ndani Kuna choo mnawekewa na maji .
Pia tambala lipo kwa ajili ya kufutia maji
Uenda hiyo MAHABUSU Ina choo Cha ndani.
Ila Mimi ninachojua polisi kafa.
Tambala la kudekia lina nguvu gani ya kumbeba mtu mzima akajinyonga atleast wangesema ametumia suruali inaleta sense
 
Kwani Mshahara wa Mrakibu ni kiasi gani?Mbona tamaa zinawaua hawa?

Btw;Dead men tell no tales!
 
Kesi ya kina zombe ilikuwa hivi hivi aliyepiga risasi alitoroka na askari mmojawapo aliyekuwa shahidi muhimu nae akifariki.yetu macho na masikio.
 
Mimi nilikaa MAHABUSU pale madale.ndani Kuna choo mnawekewa na maji .
Pia tambala lipo kwa ajili ya kufutia maji
Uenda hiyo MAHABUSU Ina choo Cha ndani.
Ila Mimi ninachojua polisi kafa.
Ulikuwa peke yako au mlikuwa wengi
 
Nadhani ni vyema wizara ya mambo ya ndani kuangalia maslahi ya polisi..ikiwemi mishara na marupu rupu mengine ili wasishawishike kudhulumu wananchi hela zao
Njaa nayo ni mbaya wandugu
 
Hicho kifo kichunguzwe. Usikute alitaka kumwaga siri za wakubwa kwenye hiyo kesi wakaona wamuwahi. Hilo tambala la deki kalitoa wapi?
 
Duh jeshi la polisi kama jeshi la polisi. Wanaweza kukuletea ushahidi wa kesi na kuupoteza wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…