Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Lakini hatia ipo na kama damu ya marehemu Ina password watakuputika wote kama wale wa mahengeHakuna tena kesi hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hatia ipo na kama damu ya marehemu Ina password watakuputika wote kama wale wa mahengeHakuna tena kesi hapo
Yaani Maabusu 7, wamefungiwa chumba Kimoja then mmoja akutwe amejinyonga, lipo jambo hapa, kwa ufahamu wangu mdogo ni kwamba mahabusu inakuwa na vyumba viwili yaani cha wanaume na wanawake ikiwa expanded zaidi kuna kuwa na mahabusu ya watoto wa kiume na watoto mahabusu wa kike, hakuna uwezekano wa mahabusu mmoja kukaa chumba chake peke yake, hii ina maana kuwa mahabusu inayedhaniwa amejinyonga hakuwa amehifadhiwa peke yake kwenye chumba, Maswali yangu;Askari mmoja Kati ya wale 7 waliokuwa wakituhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara kijana ajinyonga
--
Afisa wa Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Greyson Mahembe ambaye ni miongoni mwa maafisa saba wa jeshi hilo waliofunguliwa mashtaka ya mauaji ya mfanyabiashara amejinyonga kwa tambala la kudekia akiwa mahabusu ya kituo cha polisi wilaya ya Mtwara.
Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara liliwakamata na kuwafikisha mahakamani Maafisa wa Polisi saba kwa tuhuma za mauaji ya Mussa Hamisi Hamisi (25) mkazi wa Kijiji cha Ruponda wilayani Nachingwea Mkoani Lindi aliyekuwa akiwadai askari hao zaidi ya Sh milioni 33.7.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Marck Njera ilisema mauaji hayo yalifanyika Januari 5, 2022 na mwili wa marehemu ulitupwa kitongoji cha Majengo kijiji cha Hiari Wilayani Mtwara.
Habari Leo
Kuhusu mauaji ya mfanyabiashara, soma Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7 (Januari 25, 2022)
View attachment 2095972
Mmh!! kuna walakini
Dhuluma
Ova
Hivi tambaza la deki kweli tambaa la deki hebu fikiria tena tambaa la nini la deki
Sasa ukirudi kwenye kesi ya Zombe na wenzake kuna askari mmoja naye alijinyonga hivyo hivyo
Kuna kitu hapo kuna kitu huenda huyo jamaa ndio anajua siri zote
Bila ya kuwekwa tume huru ya uchunguzi kama ile ya Zombe kuna mtu ataangushiwa Zigo la dhambi hapo
Tambala za deki zinaweza kuwemo sello za wao police Hadi simu wanaruhusiwa kutumia
Wakifatilia mawasiliano yao ushahidi utapatikana tu hata kwa kuconnectWameamua kumuondoa ili kupoteza ushahidi wakubwa wao wasitajwe
Tamaa imewaponza mbona hata wakikopa bank kwa mishahara yao wanapata zaidi ya hizoDuh gray classmate wangu T I A campus ya mtwar yr 2012-2014 Mungu akupe unachostairi
Hizi tume ni kamba tu za kulia kwa urefu wake.Hivi tambaza la deki kweli tambaa la deki hebu fikiria tena tambaa la nini la deki
Sasa ukirudi kwenye kesi ya Zombe na wenzake kuna askari mmoja naye alijinyonga hivyo hivyo
Kuna kitu hapo kuna kitu huenda huyo jamaa ndio anajua siri zote
Bila ya kuwekwa tume huru ya uchunguzi kama ile ya Zombe kuna mtu ataangushiwa Zigo la dhambi hapo
Mbona ile ya zombe ilipiga kazi vizuri tu na mmoja anasubiri kunyongwa tu kwa sasaHizi tume ni kamba tu za kulia kwa urefu wake.
Aisee inawezekanaWameamua kumuondoa ili kupoteza ushahidi wakubwa wao wasitajwe
Watakuwa wanapoteza ushahidi kulinda wakubwaAlijinyongà vipi wakati wanawekwa selo moja? Au wao wanawekwa private? Mtu akiwa humo si vitu hatarishi vinatolewa? Semeni wamemnyonga wenzie, ili msituumize kichwa.
Tambala lilikuwa linatafuta nini humo?Ebu tuambie unaona nini?kwamba tambala la deki haliwezi kuua?
Ebu tafuta tambala la deki ujaribu uje utupe mrejesho
Kesi imekwishaWacha wauwane tu
Na hao wengine wafungiwe chumba kimoja na viberiti wapewe