Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

[emoji24][emoji24]
 
Moja kati ya kesi ambayo nilikuwa natamani sana kujua mwendelezo wake, naomba tu haki itendeke.
Changamoto ni kwamba, kisheria, hao watuhumiwa kwa sasa ni sawa na wewe uliye uraiani yaani hawana hatia kwa sasa.

Zaidi sana sheria za jinai hutafsiriwa katika kumlinda mtuhumiwa dhidi ya uonevu wa Serikali, yaani serikali inatakiwa ithibitishe pasina shaka kwamba waliua kweli.

Mfano, ukirudia kuisoma hii habari kuna maelezo kwamba marehemu alichomwa "sindano ya sumu" mengine marehemu "alichomwa "sindano ya usingizi na pia marehemu "alifungwa na kuzibwa pua na mdomo" .

Sasa kama ndivyo ilivyo kisheria, na kwa kuwa shahidi wa kwanza ndiye kayasema haya mahakamani, na kwa kuwa shaidi namba moja ndiye mbeba kesi, na ikiwa Jaji atazingatia haya maelezo, basi tayari chanzo cha kifo cha marehemu kina utata na hapo huenda watuhumiwa wakakutwa na kosa dogo ama wakaachiwa huru.
 
Mkuu,naomba nikumbushe kisa cha huyu kijana hadi kufikia kuuawa na polisi.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa yako amekaa kiuhuruma kwenye picha..hii kazi bora umeacha ni kazi ya laana.
 
Kumbe ana koneksheni mjini ndio maana anajidai sana
 
Kila siku Huwa nasema polisi wa Tz ni viumbe hatari Sana wakijua una pesa watu hunibishia hakika hii ni Zaid ya aibu askari kuua Kwa akili ya 70m!?
 
Mzee mzito
 

Ukute huyu babu alikuwa mwanachama wa ccm,halafu anazungumza kuhusu dhurma.
 
Hao ndio askari wetu, uhakisia wao.
Mie hata ndugu au jamaa yangu akiwa askari najiweka nae mbali, moyo unaweza ukamuamini lakin akili inaniambia ndio wale wale.

Kula pini kabisa,na siku wenzie wakikutight kwenye 18 ndio utajua hata povu linaloelea huwa ni tumaini kwa anayezama maji[emoji23][emoji23][emoji23].

Hutakiwi kumwamini mtu yoyote,weka nafasi ya mashaka kwake.
 

Kwahiyo mujahdeen akifanya hayo kafundishwa pia!!!!
 
Kwahiyo mujahdeen akifanya hayo kafundishwa pia!!!!
Tumekatazwa kuuwa period
Anaeuwa anapata dhambi kubwa sana
Mimi sikubaliani na wizi, mauwaji na mabaya yote
Hapa tunaongelea mafundisho mema
Kama hutamkunja samaki akiwa mbichi haya ndio matokeo yake
Kupata watu wa hovyo
 
Ukisoma vizuri maelezo ya Dr, hakuwa anajua kuwa mtuhumiwa ni nani, na askari wana mpango gani nae, wameingia ndani yeye alichokuwa anajua ni kwenda kumchoma sindano ya usingizi na sio kuua, iyo inamuondoa hatiani
Hao wote ni co accused
Vicariously wako liable ila anaweza angukia kwenye manslaughter
 
Ndugu wa huyu dogo na ukaribu na PM ndio maana ngoma mbichi vinginevyo ilikuwa kwishnei
 
Tumekatazwa kuuwa period
Anaeuwa anapata dhambi kubwa sana
Mimi sikubaliani na wizi, mauwaji na mabaya yote
Hapa tunaongelea mafundisho mema
Kama hutamkunja samaki akiwa mbichi haya ndio matokeo yake
Kupata watu wa hovyo

Hakuna binaadam mwenye akili timamu anayesubiri kukatazwa kuua ndipo aone kama ni jambo baya.

By the way wapo wenzako wameielewa dini kukuzidi wanaua sababu ya dini hiyo hiyo na mafundisho yake,unazungumzaje kuhusu hilo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…