Yaani ni laana tupu hapo. Na shida ipo uzeeni matukio yote hayo yanakujia.Sasa milioni 60 ni hela ya kufanya ue watu kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni laana tupu hapo. Na shida ipo uzeeni matukio yote hayo yanakujia.Sasa milioni 60 ni hela ya kufanya ue watu kweli?
ati arijinyonga ndani ya sero ya kituo cha porisi akiwa na askari wenzake. Haro mura, unawaerewa kweri hawa manjagu. ..?Harafu huyo greyson alikufaje?
Kwamba mambo ya namna hii yanayopita kimyakimya ni mengi sio?Yote kwa yote hii ni AJALI KAZINI kama zilivyo ajali nyingine tu
dogo kwenu 'l' ni 'r'...? Huna adabu!lakini kingine baba. ujue hii insure imebumburuka tu. enzi za mishahala kiduchu ujambazi ulikuwa unafanywa tena na wanausalama. kuanzia hiyo miaka yenu mnaajiliwa 1999 kurudi nyuma.
majambazi walikuwa wanatumia silaha kali za moto ambazo zilikuwa zinamilikiwa na serikali. kwa nchi yetu kama unavyoijua kuna baadhi ya silaha mtu binafsi awezi kuimiliki labda awe fisadi miongoni mwa mafisadi.
na nchi yetu hakuna kitu kigumu kama kupata kibari cha silaha yoyote hata hizo zenye uwezo mdogo.
ila zama hizo za uvamizi watu walikuwa na silaha za kivita. 😭😭😭
askari walikuwa na maisha magumu sana. nakumbuka niliwahi kusimuliwa na mzee wangu kuwa waliwahi kumpoteza depo mate mwenzake kwenye tukio la ujambazi ambao huyo depo mate walivamia benki hapo posta. askari waliopo zamu akiwemo baba wakapokea taarifa za benki hiyo kuvamiwa.
bahati haikuwa nzuri kwa wavamizi kwani asilimia 90 walikuwa askari.
kikosi cha askari kilichoenda kuokoa kiliongozwa na baba yangu. walitoa rai kuwa watekaji wajisarimishe lasivyo nguvu ya ziada itatumika endapo watakaidi😭😭😭
yakatokea majibishano ya risasi. Polisi waliwazidi nguvu watekaji wakafanikiwa kuwamiminia Risasi. baada ya hali kuwa shwali.
baba anasema alipo enda kukagua zile maiti za watekaji hakuamini alipo muona depo mate wake. walio maliza chuo cha polisi pamoja. wakapangiwa Dar es salaam pamoja na nyumba wakawa wanaishi nyumba moja.
kibaya zaidi kilicho muuma sana baba ambacho hadi leo anakikumbuka silaha yake ndio iliyotumika kumshambulia rafiki yake.😭😭😭.
siku hizi hali ni shwari sana
Cjajua babu zetu walitendewa nin na mapongo ila ila tu itoshe kusema wale jamaa ni zaid ya wanyama ungia mikononi mwao na usiwe na watu wakukupigania nimewah kushuhudia kwa macho yangu nikiwa kwa mahabusu zao ni vile tu nilikua na backup ya wanene nyuma yangu ila wahuni wanyonge chamoto wanakiona
bado najifunza kiswahili... ila nitajitahidi kuboresha zaididogo kwenu 'l' ni 'r'...? Huna adabu!
Ndio anachofanyaBasi huyo Dr atowe ushirikiano wa asilimia mia kwa upande wa mashtaka,na atakua huru!!
Hapo kweli shida ipoNdo umtibu mgonjwa kwnye gari?? Kwann asipelekwe hospitali akamchome hiyo sindano??
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Upande wangu simuoni kwenye manslaugheter sababu hakuwa na intention ya kuua, ila kuhusu kukiuka sheria za kazi yake ni kweliHao wote ni co accused
Vicariously wako liable ila anaweza angukia kwenye manslaughter
Mkuu fikira zako hazina mawaa, umenitafakarisha sana kwa kuhisi kuubaini ukweli kwa uliyoyasema.Kitendo hiki kilichofanywa na hawa askari wa Mtwara na wale wa Zombe wakati ule, na wengi wa aina kama hiyo ni sehemu ndogo ya ushenzi, uonevu, ukatili na uovu mkubwa unaofanywa na jeshi la polisi dhidi ya raia wake nchi nzima. Ni bahati tu kwamba kesi hii imefika hapa kwasababu ya nguvu ya mkono wa kiongozi kigogo mmoja serikalini,vinginevyo hii nayo ingeishia chinichini kama zilivyo kesi nyingi zingine zilizopita.
Jambo la kusikitisha ni kwamba matendo ya kiovu yanayofanywa na jeshi la polisi ni 'reflection' ya jamii nzima ya kitanzania ilivyo kwa sasa, lakini ukigeukia sekta zingine mambo yako hivyo hivyo - yaaani ni ukatili, uonevu na uovu kwa kwenda mbele. Matendo ya polisi hawa hayana tofauti na wayafanyayo maofisa wa TRA wanapowafanyia dhuluma wafanya biashara, hayana tofauti na baadhi ya walimu, wahadhiri wa vyuo vikuu wanaotoa alama na ufaulu kwa rushwa ya fedha na ngono kutoka kwa wanafunzi, hayana tofauti na raia wa kawaida mashuhuda wa ajali badala ya kuwaokoa majeruhi wa ajali ya gari lakini badala yake wanawapora majeruhi hao fedha zao, simu zao wakiwa mahututi, hawana tofauti na mwananchi aliyetumiwa fedha kwa simu kwa makosa na hata pale anapoambiwa kwamba rudisha au toa ushirikiano hataki na harudishi fedha hizo, hawana tofauti na maofisa ardhi wanafanyia kila aina dhuluma wananchi kuhusu haki zao za ardhi. Hawana tofauti na viongozi wanaoendesha Ma -V8 wasio na shida na wala wasioathirika na mgao wa umeme, upungufu wa maji lakini wala hawana hata chembe ya huruma na wananchi wanaotaabika na shida zinazoweza kutatulika kwa haraka.
Wanaotoa mawazo ya kulivunja jeshi la polisi, inabidi pia watafakari kuvunja TRA, NHIF, Halmashauri zetu, maana hizo ni vichaka vilivyojaa uonevu na kila aina ya uovu kila kukicha.
😆😆😆😆dogo kwenu 'l' ni 'r'...? Huna adabu!
Hapo kila mtu anatafuta njia ya kujinasua na kujisafisha.Ndo umtibu mgonjwa kwnye gari?? Kwann asipelekwe hospitali akamchome hiyo sindano??
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Ngoja nimtag jamaa yake @napennauyeHuyo kalanje nadhani ni yule aliyemtolea nape bastola kipindi cha magu,jamaa ni jambazi anayevaa magwanda,kule mbezi malamba mawili ana hekalu ambalo aliendani na kazi yake,akishapatikana na hatia serikali itaifishe na mali zake zote ili iwe fundisho kwa watumishi wezi
Hii kesi na nyingine zenye kufanana na hii,ziwe funzo,hawa majamaa wakihisiwa kufanya uhalifu mkubwa kamaa huu,wawe wanawaweka kwenye vyumba tofautitofauti,kuwaweka pamoja,lazima waanze kupoteza ushahidi kwa njia yoyote ile.Matukio ya wenzao kufa,bilashaka hata kipindi cha kina Christopher Bageni,ilitokea askari alikufa kiutata,kule Manyara yule askari aliyepoteza msafara,alikufa naye kiutata na sasa huyo mwingine eti kajinyonga kwa dekio... aisee... Dunia ina mambo sana hii.Huwa wanaogopa kuuwawa na wenzao pindi watakapo sema ukweli, kama huyo afande aliyekutwa kajinyonga Mahabusu ya police, ameponzwa kwa kusema ukweli wa tukio zima!!
Tatizo Waaovu mi wengi sana kuliko watu wema, sasa sijui tunatokaje huko!?Mkuu fikira zako hazina mawaa, umenitafakarisha sana kwa kuhisi kuubaini ukweli kwa uliyoyasema.
Upo sahihi 100% ni ukweli mtupu umeongea na hili ni janga la kitaifa na si la kitaasisi pekee!
Daktari hana pa kuchomokea hapa,Yeye kama Daktari unaambiwa mchome mtu Sindano ya usingizi alafu unamchoma tu.Daktari anayo kesi kubwa ya kujibu pia.
Kwa asili ya utendaji wa Askari Polisi Tz, hakuna Askari Polisi hata mmoja ambaye ni msafi au siyo muovu/mhalifu kwa sababu uhalifu ni sehemu mojawapo ya majukumu yao ya kila siku. Ukiajiriwa Jeshi la Polisi lazima ukubali kuwa mhalifu kwa sababu uhalifu ndio utamaduni wao wa utendaji kazi, Askari Polisi yoyote yule ambaye ataonekana kupinga uhalifu huo au kujaribu kwenda kinyume na suala hili wenzake watamuona kuwa ni msaliti na hatimaye maisha ya Askari huyo kuwa hatarini.Hii kesi na nyingine zenye kufanana na hii,ziwe funzo,hawa majamaa wakihisiwa kufanya uhalifu mkubwa kamaa huu,wawe wanawaweka kwenye vyumba tofautitofauti,kuwaweka pamoja,lazima waanze kupoteza ushahidi kwa njia yoyote ile.Matukio ya wenzao kufa,bilashaka hata kipindi cha kina Christopher Bageni,ilitokea askari alikufa kiutata,kule Manyara yule askari aliyepoteza msafara,alikufa naye kiutata na sasa huyo mwingine eti kajinyonga kwa dekio... aisee... Dunia ina mambo sana hii.
Si kweli,wapo Askari wema tena wokovu kabisa,yaani hata umpe Rushwa ambayo hajakuomba kama Asante tu unakuta anakataa anasema ametimiza wajibu wake,acha ku-generalise mamboKwa asili ya utendaji wa Askari Polisi Tz, hakuna Askari Polisi hata mmoja ambaye ni msafi au siyo muovu/mhalifu kwa sababu uhalifu ni sehemu mojawapo ya majukumu yao ya kila siku. Ukiajiriwa Jeshi la Polisi lazima ukubali kuwa mhalifu kwa sababu uhalifu ndio utamaduni wao wa utendaji kazi, Askari Polisi yoyote yule ambaye ataonekana kupinga uhalifu huo au kujaribu kwenda kinyume na suala hili wenzake watamuona kuwa ni msaliti na hatimaye maisha ya Askari huyo kuwa hatarini. Ni lazima atauawa tu kwa sababu Askari wenzake watahisi kwamba atawasanua kwa umma kuhusu uovu wao wanaotenda.
Wahaya ndio zetu,,,umaarufu tunaupendaHaka ka bwana mdogo ka kihaya kamekuwa maarufu sana ametokea kwenye ofisi ya Masumbuko Lamwai