Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Polisi mmoja kati ya waliokamatwa kajinyonga mahabusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo KimyaJeshi halina utu, Igp yupo tu wala hachukui hatua.
Yaani huyo ndio kamaliza uchunguzi......they are guilty as charged!Polisi mmoja kati ya waliokamatwa kajinyonga mahabusu
Kama haya yalitokea enzi za Mzee wa msoga,wafanyabiashara wanne waliuliwa na polisi,harafu wakasingizia walikuwa majambazi,thank God walioshiriki walihukumiwa kunyongwa.Kila siku mauaji ya raia yanayofanywa na polisi yanaongezeka . Na imekuwa too much maana hatuoni Igp akichukua hatua.View attachment 2094681
Notorious thug huyo hakujinyonga Bali he was suicided.Polisi mmoja kati ya waliokamatwa kajinyonga mahabusu
Hii imenifanya nifikiri zaidi na nikajikuta napata maswali:-Polisi mmoja kati ya waliokamatwa kajinyonga mahabusu
Policcm hao. Ukimzoesha mbwa kukufuata Kuna siku utaingia nae msikitini......mliwazoesha kuuwa na kutesa Wapinzani na kuwapora Mali zao, mkashangilia. Endeleeni kushangilia sasa, na wataendelea sana kufanya unyamaKila siku mauaji ya raia yanayofanywa na polisi yanaongezeka . Na imekuwa too much maana hatuoni Igp akichukua hatua.View attachment 2094681
Mlifurahi walivyowatesa Akina Mdude na kuwaua wapinzani.... it's now your turn to reap what you sow!!Jeshi halina utu, Igp yupo tu wala hachukui hatua.
Good question. Kama wakili msomi.Hii imenifanya nifikiri zaidi na nikajikuta napata maswali:-
1. Huko mahabusu alikua pekeyake..??
2. Wakati anataka kujinyonga kwanini mahabusu wengine hawakutoa taarifa..??
What if wamemnyonga ili kupoteza ushahidi??
Yes, hapo wamepoteza ushahidiHii imenifanya nifikiri zaidi na nikajikuta napata maswali:-
1. Huko mahabusu alikua pekeyake..??
2. Wakati anataka kujinyonga kwanini mahabusu wengine hawakutoa taarifa..??
What if wamemnyonga ili kupoteza ushahidi??
Good questionHii imenifanya nifikiri zaidi na nikajikuta napata maswali:-
1. Huko mahabusu alikua pekeyake..??
2. Wakati anataka kujinyonga kwanini mahabusu wengine hawakutoa taarifa..??
What if wamemnyonga ili kupoteza ushahidi??