mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Na ndio maana walimuua.
Hao wamezoea DHULMA
tatizo wanalindana
Hao wamezoea DHULMA
tatizo wanalindana
Hahaaaa!!!!!hatosahaulika kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa!!!!!hatosahaulika kamwe
swadakta mkuu, hata malaika wa Mungu wanafanya kazi sana ila shetani ambao ni wachache wanapanda magugu katika nganoJeshi la polisi linajitahidi kufanya kazi kwa ueledi...ila linachafuliwa na askari wachache tu.
Sasa utokee kichaa kama wewe walioua wengine, unakwenda kulipa kisasi kwa wengine!!!kwanini wasipasue bichwa lako na kupewa cheo cha juu kabisa cha mujahidin???
Hata kama ulikuwa na maumivu ya msingi kwa kudhurumiwa na polisi utaonekana mbwa tu mbele ya jamii.
hata libya walianza hivi.Hamza, kokote roho yako iliko, tambua wewe ni shujaa wangu.
Jeshi la polisi linajitahidi kufanya kazi kwa ueledi...ila linachafuliwa na askari wachache tu.
Yaani haya maelezo yanatosha kubadilisha sifa ya watuhumiwa kuwa nyingine kabisa.“Huyo mkaguzi alimfuata bosi wake na kumweleza hayo kwamba huyo jamaa (marehemu) ana pesa nyingi inaonekana ameuza madini.
Walitengeneza mazingira kwa kushirikiana na watuhumiwa wengine na kumkamata,” kilidai chanzo kimoja
CCM wameiharibu sana hii nchi tumtegemee Mungu pekee kuiponya hii nchi.Jeshi la polisi la Tanzania, vitendo vyake vingi vimeegemea kwenye uovu kuliko matendo mema. Kikundi hiki cha uhalifu, ni aheri kingefutwa ili lianzishwe jeshi la Polisi. Hawa tulio nao kuwaita polisi ni kudhalilisha taaluma hii ambayo ipo na ni muhimu kwa Dunia nzima.
Luka 3:14. Na baadhi ya askari wakamwuliza, “Na sisi je, tufanye nini?” Akawajibu: “Msichukue fedha za watu kwa kutumia nguvu (kudhulumu); msiwashtaki watu kwa kuwasingizia makosa; bali mtosheke na misha hara yenu!Hatari sana jinsi polisi saba wanaweza kula njama kama hiyo. Wangekuwa wawili tunasema wachache wanaoharibia jeshi sifa. Hii inamaana asilimia kubwa ni watu wabaya.
Shujaa kwako na umeficha matako yako hapo kwenu!!!!nenda kaunge juhudi kwa kujilipua wapasue bichwa lako.Nani aliyemuona Hamza mbwa?
labda machizi Kama wewe.
Ila kwangu Hamza NI shujaa
Aliyepinga kuonewa
Eeh mungu.===
Maofisa saba wa Jeshi la Polisi, wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani Mtwara kwa tuhuma za kumpora mfanyabiashara mmoja wa madini TZS 70 milioni...
Unasumbuka na huyu mwehu pitia uchangiaji wake mara nyingi umejaa ujinga mtupu. Eng. Zezudu badilika.hilo gazeti la kwanza habari imejitosheleza kabisa, kama unatumia simu zoom usome kwenye maandishi mekundu baada ya heading jinsi plan ilivyofanyika.
au rudi 1st post moderators wameiweka sawa.
CCM imeingiaje hapa?? Roho mbaya ni Tabia ya MtuSerikali dhalimu ya ccm ndio iko responsible kwa haya yote..ccm inafaidika sana na jeshi hili ovu la polisii na haitafanya juhudi zozote kulibadilisha..kwenye uchaguzi jeshi hili linatumiwa na ccm kuiba kura,kuwatishia mawakala wa upinzani,kuzuia maandamano.kuwabambikia kesi wapinzani.jeshi cheap sana..maslahi yao duni.elimu ndogo..
Nimewakubali sana ndugu wamarehemu kwa kuuwasha moto.Ujambazi,Ujangiri na unyang'anyi ni chain inayoanzia ofisi ya waziri,rpc,rto,dc,ded,ocd na kukamilishwa na wadogo. Hapo lazima nguvu ya uma imetumika ku disclose uharifu huu au kuna makosa yamefanyika wao kwa wao na wachache tu watalipia dhambi hii hasa waliokuwa field...