mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa litachunguzwa majibu upewe wewe kiazi mviringo!!!
Endelea kumwona shujaa wako maana kwa uvivu wa akili ulio nao hata mgonjwa wa akili anawezakuwa masihi kwako.
Ukiona kamanda wao (ZIRO) ametinga mtwara basi ujue kuna jambo linaenda kutengenezwa. lengo ni kupoteza tusijue kitachojiri... ukichanganya kujinyonga /kunyongwa wanakosema... siwezi amini hili linawezekanaje kirahisi hivi ndani ya selo. ZIRO kahojiwa kiduchu tu kachomoa anamlengesha BOSS wake ndio atajibu mambo ya polisi wake .Kila siku mauaji ya raia yanayofanywa na polisi yanaongezeka . Na imekuwa too much maana hatuoni IGP akichukua hatua.
=====
View attachment 2095921
JESHI la Polisi Mkoani Mtwara limewakamata na kuwafikisha mahakamani Maafisa wa Polisi saba kwa tuhuma za mauaji ya Mussa Hamisi Hamisi (25) mkazi wa Kijiji cha Ruponda wilayani Nachingwea Mkoani Lindi aliyekuwa akiwadai askari hao zaidi ya Sh milioni 33.7.
Inadaiwa maafisa hao wa polisi walijipatia kiasi hicho cha pesa wakati wakimfanyia upekuzi mfanyabiashara huyo. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Marck Njera imesema mauaji hayo yalifanyika Januari 5, 2022 na mwili wa marehemu ulitupwa kitongoji cha Majengo kijiji cha Hiari Wilayani Mtwara.
Maafisa wanaoshikiriwa ni Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara, Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara, Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara, Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara, Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta, Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na Koplo Salimu Juma Mbalu.
Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea.
Chanzo: Habari leo
Hakuna ninachotetea soma vizuri, naweka sawa bichwa lako.Unachotetea wewe NI nini mpaka unapanic?
Una matatizo ya AKILI?
Au unalipwa?
Said mwema kipind chake polisi walikuwa Wana uwa watu ujambazi wa ma benki ulishamil kweli ukitoka benk Una porwa pesa na uhalifu wa pikipik ulikuwa kawaidaSaid Mwema ndo alikua IGP makini.
Siro na Mahita ndo ma IGP wa hovyo sana.
Hakuna ninachotetea soma vizuri, naweka sawa bichwa lako.
Wewe polisi 7 wako matatani kwa kuua mtu mmoja, ulivyo mbuzi unasema ndio maana hamza shujaa wako kisa aliua polisi barabarabi pale!!!
Akili umebadiri na mkate ama!!!!
unajua walichomfanya Hamza?
Unajua maumivu aliyoyapata Hamza?
Si Bora wao wapo MAHABUSU vipi Yule waliyemuua na kimtupa!
Yaani damu ya MTU wewe unaona haina maana Ila hao polisi kukaa rumande ndo inakuuma?
Hamza angekuwa gaidi angechagua watu wa kuuaa?
Sirro alishindwa vipi kufanya uchunguzi kujua chanzo Cha Hamza ni nini mpaka akaamua kuua polisi?
Walifumbia macho tukioa Hamza Leo wanaumbuka.KARMA KARMA KARMA,
kiufupi polisi waache DHULMA
Ni 7 kwa mwezLaki 3 kwa mwezi....
Acha ujinga hata kama ni fani yako, anatia watu hasara.
Nimekuuliza ripoti ya hamza ulitaka upewe wewe!!!wewe unajua hamza alifanya nini!!
Hujui magaidi huwa wanachagua wa kuua!!unawajua magaidi!!!
Hakuna sehemu nimesema nimesema naona sawa mtu kuuawawa na polisi labda unipe ushahidi, nakushangaa wewe toka post yako niliyoinukuu ukimsifu shujaa wako hamza, yaani wewe, hamza na hao polisi 7 watuhumumiwa mna tofauti gani ya kimsingi kama sio nafasi tu!!!
Unalaumu unyama wa polisi 7 halafu unamsifu hamza!!!ni nani yako hamza!!!
Acha ujinga hata kama ni fani yako, anatia watu hasara.
Nimekuuliza ripoti ya hamza ulitaka upewe wewe!!!wewe unajua hamza alifanya nini!!
Hujui magaidi huwa wanachagua wa kuua!!unawajua magaidi!!!
Hakuna sehemu nimesema nimesema naona sawa mtu kuuawawa na polisi labda unipe ushahidi, nakushangaa wewe toka post yako niliyoinukuu ukimsifu shujaa wako hamza, yaani wewe, hamza na hao polisi 7 watuhumumiwa mna tofauti gani ya kimsingi kama sio nafasi tu!!!
Unalaumu unyama wa polisi 7 halafu unamsifu hamza!!!ni nani yako hamza!!!
hapo umeshindwa kutambua kwamba matokeo ya magumu yao tunayalipa sisi maraia Kama ilivyotokea kwa huyo jamaa wa Mtwara. Mambo yakiwa tight kwao wanatupress zaid raia ili kuziba Hilo gap. Leta hoja nyingineRafiki zangu wapo huko wanasema kazi yao ni ngumu ila malipo wanayolipwa(mshahara) ni hela ndogo sana.
Namimi naomba Mungu kama polisi wamefikia hatua hii ya kuwafanyia unyama ndugu zetu,ya Allah takhabar,polisi waendelee kuteseka mshahara wao ubaki mdogo hivyo hivyo.
Rabana nakuomba sana hata kama mapolisi yanajipendekeza kwa serikali ya sisiemu basi serikali iendelee vivyo hivyo kutoawajali mapolisi wa hii nchi.
Thumma amin!![emoji120]
too little too lateHapo inapaswa, kukamatwa mkuu wahicho kituo na hao askari wote kuwekwa ndani, RPC Lindi afutwe kazi mara moja, RC Lindi afutwe kazi mara moja... Waziri mambo ya ndani na Naibu wake wajiuzuru mara moja kama walikuwepo ofisini wakati tukio linatokea.... kama sio wao basi waliokuwa mawaziri kama wako kwenye nyadhifa nyingine watolewe mara moja.. IGP atolewe kazini mara moja..
Jeshi la Polisi linahitaji reform ya nguvu pamoja na kubadili mitaala kule CCP na mfumo mzima wa kurecruit....
Serikali inabidi ianzishe mtaala mashuleni kuanzia msingi mpaka sekondari unaoweza kuelimisha Watanzania juu ya uthamani wa maisha ya binadamu, utu, utaifa na jamii kupendana ...
Hili jeshi livunjwe maana hawajui majukumu yao wamekazana na philosophy yao ya kuajiri waliofeli form four wengi hadi mipaka ya nchi wengine hawajui hili jeshi limekuwa fedheha sana inapaswa kuvunjwa na kusukwa upya na katiba ongozi ya polisi ibadilishwe na chombo kiundwe cha kusimamia nidhamu za Askari na uwajibikaji ....Mwl Nyerere aliwahi kulivunja Jeshi la King African Rifles baada ya Maasi
Why don't be to this PT
Hii ni Michongo taratibu wanaisuka...na amejinyonga na nini wakati wakati kila kitu wanaacha kaunta, ikiwemo mikanda, kabla hawaingja Mahabusu?
Jeshi wanaajiri waliofeli wanaajiri watu wasio na utu kwa jamii ..jeshi hili livunjwe raia washapoteza matumaini na hili jeshi la foolishSerikali dhalimu ya ccm ndio iko responsible kwa haya yote..ccm inafaidika sana na jeshi hili ovu la polisii na haitafanya juhudi zozote kulibadilisha..kwenye uchaguzi jeshi hili linatumiwa na ccm kuiba kura,kuwatishia mawakala wa upinzani,kuzuia maandamano.kuwabambikia kesi wapinzani.jeshi cheap sana..maslahi yao duni.elimu ndogo..