Uko sahihi kabisa ila wakati wapinzani wakiuliwa mbona tulikaa kimyaaaaa? Mbona tulishangilia? Hakuna aliyesema kuwa Polisi wasifanye au wasiingilie mambo ya siasa? Haya sasa ndio mavuno yake. Wala sijashangilia nazungumzia facts
Tetesi zinasema nikwakuwa alie uwawa anatoka anakotoka PM ndio maana hayo yamegundulika. Hata sim iliotoa maagizo ni yakule... Je wangapi wanapotea kwa staily kama hii... Inatisha sanaKila siku mauaji ya raia yanayofanywa na polisi yanaongezeka . Na imekuwa too much maana hatuoni IGP akichukua hatua.
Limetokea Mtwara mkuu??Hii ishu imetokea kweli mm nipo Mtwara, mkuu wa kituo naye yupo ndani, na huyo wanaesema kajinyonga hapana, wamemuua
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sasa bro mbona unamkandika mwenzako na kitu kizito[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaamka mapema kuwahi umbea jamvini. Wewe si ulikuwa humu unamshutmu Hamza nakumtukana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh uchungu eee?;!!!!Wayanyonge. Kabla ya kuyanyonga wayapeleke jela wakakutane na waliowabambikia kesi wakawalawiti kwanza kufidia uchungu waliowasababishia.
Polisi hata kama ni ndugu yako chunga sana asikujuejue. Ni mijahilia hii mijaa laana.
Umemaliza[emoji1666]Polisi wa Tz ndio majambazi wenyewe
Naam. Nakubaliana na wewe pia ila kwa hili hapana, ni mbegu ambayo tuliipanda, tukaipalilia! Ikawa Ili uitwe Mzalendo basi ushangilie maumivu ya mpinzani dhidi ya Dola, ila HATUJACHELEWA KUANZA UPYA!Nakubaliana na wewe, hakuna yeyoye aliyestaarabika anayependa Polisi kuingilia Siasa....ila nimetoa tahadhari dhidi ya wanasiasa kutumia hiyo loophole ya nguvu yetu wananchi wao kuichokoza dola kwa makusudi kupitia vyombo vyake ili wapate huruma yetu kutwaa madaraka...
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wale wazee wenzangu ambao macho yetu yanaelekea ukingoni, nimedokoa kwa Muhtasari;
-Alitiwa mbaroni akiwa nyumbani kwake mjini Nachingwea kisha kupelekwa Mtwara Mjini
-Baadae aliachiwa baada ya kuchukuliwa maelezo lakini alirudi Polisi kudai fedha zake zilizoshikiliwa
-Tangu aliporudi kituoni hapo kudai fedha zake alishikiliwa tena na kuhojiwa na baada ya hapo hakuonekana tena
-Taarifa Zaidi zinadai kuwa mfanyabiashara huyo aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa eneo linguine inadaiwa kuwa alichomwa sindano ya sumu kisha kutupwa Baharini
Hao ndio Polisi wetu wenye jukumu la kulinda raia na mali zao!
Mungu Ibariki Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa yaan.Wanao jiunga ni wale,walio kosa nafasi za kuendelea na masomo, kwenda ualimu,kwenda unesi,
Nimesikitika mno na nimetoa machoziWale wazee wenzangu ambao macho yetu yanaelekea ukingoni, nimedokoa kwa Muhtasari;
-Alitiwa mbaroni akiwa nyumbani kwake mjini Nachingwea kisha kupelekwa Mtwara Mjini
-Baadae aliachiwa baada ya kuchukuliwa maelezo lakini alirudi Polisi kudai fedha zake zilizoshikiliwa
-Tangu aliporudi kituoni hapo kudai fedha zake alishikiliwa tena na kuhojiwa na baada ya hapo hakuonekana tena
-Taarifa Zaidi zinadai kuwa mfanyabiashara huyo aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa eneo linguine inadaiwa kuwa alichomwa sindano ya sumu kisha kutupwa Baharini
Hao ndio Polisi wetu wenye jukumu la kulinda raia na mali zao!
Mungu Ibariki Tanzania.
Kwa kiasi cha pesa walizochukuwa kabla ya kumuuwa, lazima kuna mkubwa alishiriki. Na kwa hivyo lazima huyo askari mmoja atakuwa kanyongwa huyo kuharibu ushahidi.Notorious thug huyo hakujinyonga Bali he was suicided.
Alinyongwa yakatengenezwa mazingira ionekane amejinyonga maana huenda alianza ku panic kwa sababu ya damu iliyokua imemwagika.
Kama mtakumbuka kwenye kesi ya polisi kuua watu wa madini miaka Ile, Kuna Askari mmoja alikufa wakati kesi inaendelea ili kibosile mmoja asifungwe. Hata mjinga mpuuzi anajua kile kifo kilikua staged baada ya kuona dogo ameanza ku spill beans.
Inasemekana walitumia sindano ya sumu kumuuwa na kisha wakamtupa baharini.Nilikuwa mtwara toka ijumaa ndio stori imezagaa mjini , kwa kweli hawa polisi wamefanya tendo la kikatili sana akiongozwa na mkuu wa kituo
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
hasa ukikumbuka kuwa hao ndio wanaolinda Raia na Mali zao.....Nimesikitika mno na nimetoa machozi