samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Hapo inapaswa, kukamatwa mkuu wahicho kituo na hao askari wote kuwekwa ndani, RPC Lindi afutwe kazi mara moja, RC Lindi afutwe kazi mara moja... Waziri mambo ya ndani na Naibu wake wajiuzuru mara moja kama walikuwepo ofisini wakati tukio linatokea.... kama sio wao basi waliokuwa mawaziri kama wako kwenye nyadhifa nyingine watolewe mara moja.. IGP atolewe kazini mara moja..
Jeshi la Polisi linahitaji reform ya nguvu pamoja na kubadili mitaala kule CCP na mfumo mzima wa kurecruit....
Serikali inabidi ianzishe mtaala mashuleni kuanzia msingi mpaka sekondari unaoweza kuelimisha Watanzania juu ya uthamani wa maisha ya binadamu, utu, utaifa na jamii kupendana ...
Jeshi la Polisi linahitaji reform ya nguvu pamoja na kubadili mitaala kule CCP na mfumo mzima wa kurecruit....
Serikali inabidi ianzishe mtaala mashuleni kuanzia msingi mpaka sekondari unaoweza kuelimisha Watanzania juu ya uthamani wa maisha ya binadamu, utu, utaifa na jamii kupendana ...