Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Tukubaliane jambo moja hapa.

Ni 33 mil au 70.
 
Yaani huyo ndio kamaliza uchunguzi......they are guilty as charged!
Hili swala la kujinyonga linafikirisha Sana.Nani anajua huenda uwepo wake ni hatari kwa washtakiwa wengine.Huenda alinyongwa au kujinyonga mwenyewe nani ajuae.Zaidi hivi kujinyonga mahabusu ni rahisi hivyo? Mbona kila kitu hatarishi huwa havipo?Najaribu kujiuliza tu.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hatari sana jinsi polisi saba wanaweza kula njama kama hiyo. Wangekuwa wawili tunasema wachache wanaoharibia jeshi sifa. Hii inamaana asilimia kubwa ni watu wabaya.
muundo mzima wa jeshi hili umepitwa na wakati. LINGEFUMULIWA ILI KULIUNDA UPYA. sehemu kubwa ya jeshi hili si waadilifu, hata yule kijana HAMZA aliyewamiminia risasi polisi , inasemekena pia walimzurumu madini na fedha.
 
Halafu watu wengi wanapiga hesabu rahisi kwamba ukigawanya kwa 7 inakuja mil4.8 hivi wanashau hiyo chain hawako 7 tu. Kuna ambao wamepenya chekeche(washirika wengine) wanaolamba vimilion au laki5 hivi kwahiyo inapungua

Hao watendaji wenyewe pengine walikua na Mil 2 tu kila mmoja
Kwa jinsi mlolongo ulivyo na ukichanganya na kesi juu hamna ela hapo nahisi wanatamani siku zirudi nyuma wawe kama wanaota
 
Yani mtu alietoa ushahidi kamili wa nini Kilitokea aamue Kujinyonga???? Ndani ya Cello ya polisi aisee wanatuona wajinga sanaa...
 
Sasa 33.7 kwa watu saba si ni sawa na kama 4.5
Hivi kweli udhamirie kuuwa kwa 4.5?
Mkoani Mara, dada mmoja kamuua mama mkwe wake kwa kutoa kianzio cha shilingi 50,000 tu kwa makubaliano kwamba atamalizia sh 450,000 ili kufikisha sh. 500,000 kama wakivyokubaliana iwapo kazi itafanyika. Kwa sasa huyo dada na wale wauaji wapo ndani wanaisaidia polisi. Hapa naonesha kuwa wingi wa pesa si hoja. Wapo wauaji ambao hata wakipewa chupa ya gongo na bangi watafanikisha mauaji .
 
Mkoani Mara, dada mmoja kamuua mama mkwe wake kwa kutoa kianzio cha shilingi 50,000 tu kwa makubaliano kwamba atamalizia sh 450,000 ili kufikisha sh. 500,000 kama wakivyokubaliana iwapo kazi itafanyika. Kwa sasa huyo dada na wale wauaji wapo ndani wanaisaidia polisi. Hapa naonesha kuwa wingi wa pesa si hoja. Wapo wauaji ambao hata wakipewa chupa ya gongo na bangi watafanikisha mauaji .
Hilo sasa ni deni
Kuua kwa deni hata la shs 200 inawezekana
Ila kuua kwa ajili ya kupora shs 200 haiingii akilini
 
katika hiyo lisi kungekuwa na kopulo urio, sajenti lyaruu na konstebo minja.....ungeona mapovu HAPA........ 😂 😎
 
Hii imenifanya nifikiri zaidi na nikajikuta napata maswali:-
1. Huko mahabusu alikua pekeyake..??
2. Wakati anataka kujinyonga kwanini mahabusu wengine hawakutoa taarifa..??

What if wamemnyonga ili kupoteza ushahidi??
Maswali mengi mno
 
Haaa bro kama nakuona vile.
Nimetembea nchi hii sijawahi kuona trafiki wana njaa kali kama mkoa wa pwani hasa wale wa maeneo ya kibiti,mkuranga na rufiji pale muhoro.

Nihatari sana . Askari wamejipanga wanalazimisha rushwa tena wanataka kuanzia elfu kumi.

Najua dawa yao ipo jikoni.
Ndiyo maana wazungu wakija Tanzania hawa wapendi polisi wetu Yan Wana tia doa nchi yetu ina onekana ina askar wa hovyo Yani Bora ukutane na mlinzi wa kampuni binafsi utakuwa salama kuliko kukutana polisi wa Tanzania
 
Ndiyo maana wazungu wakija Tanzania hawa wapendi polisi wetu Yan Wana tia doa nchi yetu ina onekana ina askar wa hovyo Yani Bora ukutane na mlinzi wa kampuni binafsi utakuwa salama kuliko kukutana polisi wa Tanzania
Nitoe tu ushuhuda, Leo nimeongozana na gari Land cruiser imebeba vijana ambao huwezidhania kama ni polisi, kuwacheck kama wote wana bastola, kinachonisukuma kuandika haya gari lenyewe halina numba za usajili!! Sasa hawa wqnatambulika na nani wakifanya uhalifu!? No uniform, No car registration!! Full armed!! Afande Sirro Fanya kitu, Vijana wako sio Malaika!! Waziri wa mambo ya ndani Fanya kitu, hii nchi hahitaji polisi wa kuendesha dhuluma, Just wawakamate wahalifu wakiwa wanatambulika sura na utambulisho wao!! RIP Mussa
 
Fikiria hapo wote in viongozi katika hiyo taasisi, Mungu Tunusuru
Jeshi la Polisi lijitazame upya kuanzia recruitment, training mpaka ufanyaji wao wa kazi. Kuna umuhimu wakawa na KPI, kama ipo nitashangaa sana.
 
Back
Top Bottom