Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Kuna magazeti yaliripoti 70m, imekuwa 33.7m????Tukubaliane jambo moja hapa.
Ni 33 mil au 70.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna magazeti yaliripoti 70m, imekuwa 33.7m????Tukubaliane jambo moja hapa.
Ni 33 mil au 70.
Watuhumiwa polisi, tume ya uchunguzi ya polisi, aibu!Kila siku mauaji ya raia yanayofanywa na polisi yanaongezeka . Na imekuwa too much maana hatuoni IGP akichukua hatua...
Ila hawakuua kwa sababu ya deni. Wao walifanya hivyo kwa kuahidiwa kulipwa sh. 500,000. Kwa kuanzia huyo dada aliwapa sh 50,000 alizopewa na TASAF kama msaada kwa watu toka familia maskini.Hilo sasa ni deni
Kuua kwa deni hata la shs 200 inawezekana
Ila kuua kwa ajili ya kupora shs 200 haiingii akilini
Maafisa wanaoshikiriwa ni Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara, Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara, Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara, Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara, Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta, Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na Koplo Salimu Juma Mbalu.
Ooohooooo tasafIla hawakuua kwa sababu ya deni. Wao walifanya hivyo kwa kuahidiwa kulipwa sh. 500,000. Kwa kuanzia huyo dada aliwapa sh 50,000 alizopewa na TASAF kama msaada kwa watu toka familia maskini.
Acha kujificha nyuma ya keyboard,ungeanza wewe kuingia barabarani.Watu wanapenda ugali wao atii!!Watanzania nani aliyewaroga? polisi kuua mfanyabiashara wa madini kijana Mtwara ilitakiwa kuwa sababu ya kila raia kuingia barabarani
Wewe upo nchi gani? Tuanzie hapo kwanzaWatanzania nani aliyewaroga? polisi kuua mfanyabiashara wa madini kijana Mtwara ilitakiwa kuwa sababu ya kila raia kuingia barabarani
Anza Kwanza Wewe kuingia huko barabarani kisha ukishamaliza kutenganishwa Kichwa, Bandama, Kolomero na Kiwiliwili ndupo na Sisi ( Watanzania ) tuliyerogwa tutaungana nawe sawa?Watanzania nani aliyewaroga? polisi kuua mfanyabiashara wa madini kijana Mtwara ilitakiwa kuwa sababu ya kila raia kuingia barabarani
Mkuu nchi nyingi za giza, bado usingizi umetawa sana.... ninachojifunza bado hatujui haki zetu kabisa..Watanzania nani aliyewaroga? polisi kuua mfanyabiashara wa madini kijana Mtwara ilitakiwa kuwa sababu ya kila raia kuingia barabarani
Akina Zombe waliuwa wafanyabiashara wanne na wakaachiwa licha ya kuwepo ushahidi wa kutosha, hata Hawa wataachiwa tuu maana wao ndo wenye sheria.Wanyongwe wote waliohusika na tukio hili this is too much very painful
IGP say something
NONSENNSE & STUPIDY!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nashangaa RPC asifahamu mchogo kivipi.HII KESI NI RPC NA WENGINE WOTE WASIMAMISHWE ALAFU ndio kesi ianze kuchunguzwa wakati hawapo makazini lasivyo itakuwa kupoteza ushahidi kwa kwenda mbele.. Dekio Linatoka wapi Lock up.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sie tulio rohoni mbona tunaona Msoga bado iko on top,tukio hili linatofuati gani na hilo la enzi za Msoga.?Kama haya yalitokea enzi za Mzee wa msoga,wafanyabiashara wanne waliuliwa na polisi,harafu wakasingizia walikuwa majambazi,thank God walioshiriki walihukumiwa kunyongwa.
Haipoo hiyooo yani huyu Anajua mzeee..!! Kama wakubwa wote hao wanajua yeye why asijueeNashangaa RPC asifahamu mchogo kivipi.
Wadhulumu $13000 washindwe kumkatia mzee $3000 Halafu wale 5 $2000 mhehe hayuko kwenye hesabuHaipoo hiyooo yani huyu Anajua mzeee..!! Kama wakubwa wote hao wanajua yeye why asijuee
Labda watumish wengne tofaut na POLISI, polisi hata aongezewe ×4 hawez acha dhuluma mkuuSerikali iongeze mishahara kwa watumishi wa umma.