Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,856
- 1,793
Yaani maisha haya wakati wengine kula mpaka wakabwe na kuimbiwa nyimbo wengine wanachomwa moto kisa wamekula!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Magufuli katuambukiza roho za ukatili
Je watatoa wapi hicho chakula? Acha masiharaWazazi piken chakula kingi mtoto anatakiwa arudie kula mpaka achoke mwenyewe
Watoto wadogo kila muda wanasikia njaa
Hakuna cha bahati mbaya,mzazi na akili zako timamu mtoto Kala chakula Unamfunga kamba afu unawasha majani kumtisha KwanI kawa chui ni child abuse tu.Acheni kuropoka (baadhi yenu) kwani hamuoni maelezo hayo yalivyojitosheleza!!?
1. Mtoto ana tabia za utundu (wizi udokozi)
2. Mama alitaka kumtishia tu kumchoma ila kwa nahati mbaya ndipo akamuunguza
3. Mama anajutia kwa matokeo yaliyotokana na bahati mbaya katika adhabu aliyokusudia kwa mwanaye
Hatahivyo; hawa jamaa saa zingine wanajua kuyakuza kweli kweli yaani kajambo kadogo linaweza kufanywa lijambo
Yaani ukishasikia dawati la wanawake/jinsia, maendeleo ya jamii, haki za binadamu, shirika la... nk- hao jamaa wakisikia kesi za hivyo wanajua kukomalia kweli bila kuangalia mwisho ni nini (wao wanataka mileage na sifa tu kwa upande wao basi)
Hebu saa zingine tufikirie mbali zaidi kwani huenda tukazidisha badala ya kuondoa/kupunguza matatizo
Angalia mfano unamkomalia mzazi kwajili kamuadhibu mwanaye unamwita muuaji, jina baya na majina makali makali mengine
Maana yake ni kwamba unamfanya hata mtoto aamini hivyo kwamba mzazi wake hamfai
Sasa kama mtoto akiungana na wewe kimawazo na matendo Hiyo itasababisha baba nae asione umuhimu wa mtoto wake
Mbaya zaidi mnajua kabisa baada ya mambo yote hayo (kesi) mtawaacha wahusika wanapita hivi nanyi mtapita vile (maana ni wazi hakuna anayebeba mzigo wa mwenziwe hapa duniani)
Je mnaandaa maisha ya namna gani mbeleni kwa jamii hiyo (kati ya mzazi na mwana na wanaofungamana nao)
Simaanishi muyanyamazie maovu ila kila kitu kina kipimo chake. Hili liko wazi na ndomaana hata mahakamani kuna hatua unasikia NENDENI MKAYAMALIZE NYUMBANI
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiingii akilini mkuu,Acheni kuropoka (baadhi yenu) kwani hamuoni maelezo hayo yalivyojitosheleza!!?
1. Mtoto ana tabia za utundu (wizi udokozi)
2. Mama alitaka kumtishia tu kumchoma ila kwa nahati mbaya ndipo akamuunguza
3. Mama anajutia kwa matokeo yaliyotokana na bahati mbaya katika adhabu aliyokusudia kwa mwanaye
Hatahivyo; hawa jamaa saa zingine wanajua kuyakuza kweli kweli yaani kajambo kadogo linaweza kufanywa lijambo
Yaani ukishasikia dawati la wanawake/jinsia, maendeleo ya jamii, haki za binadamu, shirika la... nk- hao jamaa wakisikia kesi za hivyo wanajua kukomalia kweli bila kuangalia mwisho ni nini (wao wanataka mileage na sifa tu kwa upande wao basi)
Hebu saa zingine tufikirie mbali zaidi kwani huenda tukazidisha badala ya kuondoa/kupunguza matatizo
Angalia mfano unamkomalia mzazi kwajili kamuadhibu mwanaye unamwita muuaji, jina baya na majina makali makali mengine
Maana yake ni kwamba unamfanya hata mtoto aamini hivyo kwamba mzazi wake hamfai
Sasa kama mtoto akiungana na wewe kimawazo na matendo Hiyo itasababisha baba nae asione umuhimu wa mtoto wake
Mbaya zaidi mnajua kabisa baada ya mambo yote hayo (kesi) mtawaacha wahusika wanapita hivi nanyi mtapita vile (maana ni wazi hakuna anayebeba mzigo wa mwenziwe hapa duniani)
Je mnaandaa maisha ya namna gani mbeleni kwa jamii hiyo (kati ya mzazi na mwana na wanaofungamana nao)
Simaanishi muyanyamazie maovu ila kila kitu kina kipimo chake. Hili liko wazi na ndomaana hata mahakamani kuna hatua unasikia NENDENI MKAYAMALIZE NYUMBANI
Sent using Jamii Forums mobile app