Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Dalili ya mvua ni mawingu! Acha yawakute ACT maana ndio wenye tamaa na wanaokwamisha vyama vya upinzani kuwa ma msimamo mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinana alisema ACT ni chama cha hoja siyo vihoja. Hahaha ccm hata wakigombea na jiwe/ kivuli wataiba kura tuuKinana si alihudhuria mkutano mkuu wa ACT , na kumwaga porojo , halafu ikawaje tena ?
mnakamatwa tu..😂Ndo kinana anaahidi uchaguzi huru na wa haki?
kwani nako ACT wako nyumbu ?Na nyumbu wakaamini na kushangilia sana
waliyataka enyeweMsimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.
Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Tulitawaliwa na kichwa cha naziMzee Kikwete: Sina hofu ya CCM kushindwa na Upinzani Uchaguzi Mkuu labda kutokee mambo ya ajabu.
Kama hakuna hofu ya kushindwa . Kura feki zinapatikana vipi?
Na hup ni uchaguzi mdogo tu.
Aliyeonja nyama ya mtu haachi. Wakati tunaingia katika mfumo wa vyama vingi, CCM ilipora mali zote zilizokuwa zikimilkiwa na umma na kuvimiliki kama vyake.Haya mambo bodo yapo?! Hizo R 4 zinazoimbwa itakuwa maigizo.
MBONA MNASEMA MAMA ANAKUBALI NA WANANCHI KURA FEKI ZA NINI TENA?Msimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.
Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Ccm ndio hawaiwezi.Demokrasia ya Wazungu hatuiwezi !
Mkuu tazama kilichotokea Zimbwabwe kumtoa Mugabe, hakikufanyika baada ya uchaguzi. El Bashir wa Sudan hakutolewa kwenye uchaguzi. Egypt kumtoa Hosni Mubarak aliyekuwa anatangazwa mshindi Kila uchaguzi.Nakubaliana na wewe. Ila uchaguzi ni njia moja nzuri inayoweza kuleta hayo uliyosema. Wananchi kukiwasha mara nyingi ni lazima kuwe na sababu (chanzo). Ni kama ule ugomvi wa enzi za utoto, mmoja anapewa kijiti na mwingine anaambiwa amnyang'anye ili kumpandisha hasira. Machafuko hayaji kama gwaride, yaani huwapangi wananchi na kuwaambia kuwa kesho ni lazima mkinukishe kwa sababu serikali haitaki uchaguzi huru. Njia sahihi ni kushiriki kila uchaguzi na kuwaanda wananchi kwa kuwaambia kuwa mtu wenu akiibiwa kura msikubali. Na hili linawezekana zaidi wakati wa uchaguzi wa nchi nzima. Resourses za vyombo vya usalama vinavyoilinda CCM itazidiwa na wingi wa wananchi. Trick kubwa hapa ni ''kuwasomesha'' wananchi mpaka waelewe somo na wawe tayari kwa lolote. Changamoto nyingine ni kuwa wananchi wanaweza wasichukuwe hatua kama ilivyokuwa 2020. Lakuaingatia ni to keep trying kwenye kila uchaguzi.
HAKUNA DEMOKRASIA WALA TUME HURU Chini ya CCMMsimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.
Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Atakuwa katumwa na mwendazake😂😂😂😂😂Msimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.
Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Je Kinana ataaminika tena ?Ccm ndio hawaiwezi.
Tatizo la hapa kwetu ni kuwa je, kuna ''watu wakubwa'' wenye maono ambao wako tayari kufanya jambo lisilotarajiwa ili kuleta mabadiko? Tatizo waliopo wote wanafikiria matumbo yao. Tungekuwa na watu wenye uchungu kweli kweli ndani ya vitengo kama TISS na jeshi wala hatuhitaji kutumia mabavu kuondoa uozo. Ni kiasi cha kusubiri unapofika uchaguzi wanahesabu kura kama kawaida halafu wakati wa kutangaza matokeo wanageuza kibao.Mkuu tazama kilichotokea Zimbwabwe kumtoa Mugabe, hakikufanyika baada ya uchaguzi. El Bashir wa Sudan hakutolewa kwenye uchaguzi. Egypt kumtoa Hosni Mubarak aliyekuwa anatangazwa mshindi Kila uchaguzi.
Kuendelea kushiriki hizi chaguzi ni kuwapa uhala wasiostahili. Sipingi kuwa kwenye uchaguzi ni sehemu nzuri ya kuanzia, lakini hao wahuni watasema wameshinda kwenye uchaguzi.
Hili ndio lakufanyia kaziHuwa nasema hiyo njia ya kura ni kupotezeana muda, nashangaa Bado Kuna watu wana imani na huo upuuzi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi itakuwa ni kupotezeana muda.
Kimsingi zama za ccm zimeisha na kizazi chake kimepita, mbeleko ya vyombo vya Dola ndio pumzi yao pekee. Bila kupora hawana uhakika tena wa kushinda uchaguzi wowote kuhalali. Machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli.Je Kinana ataaminika tena ?
Kweli KARMA huwa haina mchezo !
Wameshindwa hata kuwazuga watu kwenye uchaguzi mdogo tu !
Sasa mambo hadharani !