Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

hamna kitakachobadilika kwan dunia ina miaka 2000!
Usichojua Tabia za jamii huwa zinakuja na kutoeka!
Kama hayo mambo yalianza sodoma miaka 4000 iliyopita na yalipotea yakatlja tena ! so itafika muda itapotea
Miaka 34 Kwa miaka 27

Pata picha miaka 30 ijayo hali itakuwaje kwa Vijana wetu wa kiume na Kike

Na unadhani hali itakuwaje kwa mabinti zetu kama Wanaume wenyewe ndiyo hawa ili isimame ni hadi waone makalio 🙌

Kweli Wazungu wametuweza, badala ya kupenda Kei watu waanze kupenda makalio🥲
 
Mtoto wa miaka 4 unambaka........
Kuna mkaka jana nilimuona anaongozana na kitoto kidogo...nawajua wazazi wa huyo mtt ni wale wanaokaa kwny nyumba za watu kulinda kabla hawajahamia..basi nadhani huyo kijana ni mjomba ake maana kafanana na mama yake na mtoto...wakawa wanapita huyo kijana muda wote mkono upo kwny mdudu wake sijui anajikuna sijui anafanya nini yani nilichefukwa nikaujua baadae lazima atamshika mtt au smpe kitu ale...

nikatoka kwa nje maana mm nilikua ndani nawaona nikajifanya kupiga chafya..akageuka akatoa kono lake...nikajifanya kukaita kale katt nikakauliza mama yupo japo wala sijawahi ongea nae yani ilimradi tuu yule kijana ashtuke..mm nilipata hofu sijui kwanini jamani...yani niliingiwa na hali fulani hivi ya kuhisi huyo kijana sio mtu mzuri...any way ndo mjomba mtu wanakaa na mama wa yule mtoto...
Labda ni mawazo yangu tuu...sijui walikuwa wanaenda wapi...
Mm siku hizi kila mtu namuogopa kwa watoto wangu yani hata ndugu zangu ...
 
Huyo diki ni shoga mkubwa Sana hapo masasi tangu yupo mdogo watu wanajipigia tu, mwalimu jumba bovu limemuangukia

Na ukimuona Hadi mwili wake unamafuta mafuta ya kutosha (sperm) zimefanya kaz
kheee ila watanzania😂😂😂
ko naww umejipigia
 
Mtoto wa miaka 4 unambaka........
Kuna mkaka jana nilimuona anaongozana na kitoto kidogo...nawajua wazazi wa huyo mtt ni wale wanaokaa kwny nyumba za watu kulinda kabla hawajahamia..basi nadhani huyo kijana ni mjomba ake maana kafanana na mama yake na mtoto...wakawa wanapita huyo kijana muda wote mkono upo kwny mdudu wake sijui anajikuna sijui anafanya nini yani nilichefukwa nikaujua baadae lazima atamshika mtt au smpe kitu ale...

nikatoka kwa nje maana mm nilikua ndani nawaona nikajifanya kupiga chafya..akageuka akatoa kono lake...nikajifanya kukaita kale katt nikakauliza mama yupo japo wala sijawahi ongea nae yani ilimradi tuu yule kijana ashtuke..mm nilipata hofu sijui kwanini jamani...yani niliingiwa na hali fulani hivi ya kuhisi huyo kijana sio mtu mzuri...any way ndo mjomba mtu wanakaa na mama wa yule mtoto...
Labda ni mawazo yangu tuu...sijui walikuwa wanaenda wapi...
Mm siku hizi kila mtu namuogopa kwa watoto wangu yani hata ndugu zangu ...
Sipendi hii tabia ya mkaka, mda wote kono liko ndani ya boksa, afu ukute hata penye watu, hawajari wala nn.

Wananichefua, uchafu tyuuh.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom