Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
hamna kitakachobadilika kwan dunia ina miaka 2000!
Usichojua Tabia za jamii huwa zinakuja na kutoeka!
Kama hayo mambo yalianza sodoma miaka 4000 iliyopita na yalipotea yakatlja tena ! so itafika muda itapotea
Usichojua Tabia za jamii huwa zinakuja na kutoeka!
Kama hayo mambo yalianza sodoma miaka 4000 iliyopita na yalipotea yakatlja tena ! so itafika muda itapotea
Miaka 34 Kwa miaka 27
Pata picha miaka 30 ijayo hali itakuwaje kwa Vijana wetu wa kiume na Kike
Na unadhani hali itakuwaje kwa mabinti zetu kama Wanaume wenyewe ndiyo hawa ili isimame ni hadi waone makalio 🙌
Kweli Wazungu wametuweza, badala ya kupenda Kei watu waanze kupenda makalio🥲