Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

nakumbuka wewe uliwahi kujieleza kabisa kwamba umezaliwa mwanaume na unashiriki na umeanza kufir.wa at the age of 20 yrs old. haujasoma ST. LIKUD na bado unafir.wa, acha kutupaka matope watu wa ST.LIKUD
Guy you are obsessed with me and this yaonesha how interested you are. Don't sound homophobic to prove a point. Live your life
 
Hapa ndio ujue jamii yetu wanaharibikia ukubwani kama matikiti, yaani 4 & 10yrs girls wamedhurumiwa utoto wao ila they have been ignored by people wa humu na matokeo wanajidiliwa watu wazima walio amua kwa hiyari kula na kuliwa mindukuu
I have been saying this for years lakini nobody cares but i strongly believe. Ipo siku
 
Guy you are obsessed with me and this yaonesha how interested you are. Don't sound homophobic to prove a point. Live your life
oya we shoga msomi leta hoja zinazoeleweka, wewe ni zao la EMS na umechagua kuliwa mnduku na ulijitangaza kabisa hapa jf, kinachonisikitisha unazipaka matope shule za serikali. what the f*ck!
 
oya we shoga msomi leta hoja zinazoeleweka, wewe ni zao la EMS na umechagua kuliwa mnduku na ulijitangaza kabisa hapa jf, kinachonisikitisha unazipaka matope shule za serikali. what the f*ck!
Umeelewa nilichoandika haa
 
nachosema watu wanaenda wanabadilika kulingana na msimu!
hii imechochewa na internet na video chafu!
Ni sahihi japo na maendeleo ya teknolojia yamechangia pia


Miaka ya sodoma na gomola Wanaume pamoja na kwamba walikuwa wanapenda kufanya kinyume cha maumbile baina yao lakini hawakuwa na access ya kujibadiri jinsia kabisa kama ilivyo sasa.

Si unaona mtoto wa Elon Musk pamoja na kupenda kuingiliwa lakini akaamua akabiri na jinsia yake kabisa kutoka Uanamme hadi Uanamke

Kwahiyo haya mambo yanavyoendelea kuonekana ya kawaida, itafikia wakati Watu watakuwa hawazaani as Mume anamwingilia mkewe kinyume cha maumbile, vile vile Mwanaume huyo huyo anamwingilia Mwanaume mwenzake kinyume cha maumbile pia 🙌
 
Nimecheka hadi basi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila mwalimu ukiwa Gay, tena ukute unafundisha sec, lazima utashindwa kujizuia, vijana wako aste aste, unajikuta unawaingia ili wakuridhishe kihisia, Lol.

Sasa huyo ticha wenu hadi kwa watoto wa drs la 6 na 7, mmmh hatariii.

Sema issue ya mtwara, imetokana na huyo Dick kupost mtandaoni mambo ya chumbani.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kwa miaka ile mwanafunzi wa drs la saba alikuwa mkubwa. Yani unamaliza la 7 unaenda kuoa na kuolewa. Na sisi tulikuwa tayar tumechangamka tunapeleka moto km kawaida. Tatizo ilikuwa hii ishu ya ushoga kwetu ilikuwa ngeni.
Ila sisi walikuwa wanatuonea coz mabro kitaa ndo walikuwa wanamla teacher, Tena walikuwa wanasubiri kipindi Cha mshahara.
 
Nimeona iyo video nimejisikia vibaya nikajuta Kwa nin nimeitizama anyway

Kwann watoto wa kiume mnafanya ivi?? Nini kinachochea?? Sababu ni zipi?? Nimejiuliza maswal mengi sipat majibu hay huyo mwalim na watoto wetu vipi jaman khaaa
Umeona msanii wenu pendwa #1
Chichiem ...clip yake kwenye harusi ya msanii gani sjui
Anajirusha na mashoga...ukaribu wa nguvu

Ova
 
Jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Nanyani iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara, Mohamed Ally Kajao (34) na Dickson Paul Tamba (27), mjasiriamali, mkazi wa Mkuti Chini Machinjioni wilayani Masasi, kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja.

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari Februari 12, 2025 Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Issa Suleiman, amesema tukio hilo lilifanyika Januari 2025 katika nyumba ya kulala wageni (jina limehifadhiwa) ambapo Dickson Tamba aliruhusu kuingiliwa na Mohamed Ally Kajao, kisha kunakili picha mjongeo (video) na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii.

Pia Jeshi hilo linamshikilia mlinzi wa Kampuni ya Kiwango Security, mkazi wa Magomeni wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kike (10) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne mkazi wa Magomeni. Pia linamshikilia na Mkulima Ahmad Mohamed (39) mkazi wa Libobe wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa kike (04) mkazi wa Libobe.

Ameongeza kuwa kwa kipindi cha kuanzia Januari 1, 2025 hadi Januari 31,2025 kupitia doria, misako na operesheni iliyofanyika kwa kipindi hicho Jeshi la Polisi mkoani humo lilifanikiwa kuwakamata watuhumiwa 23 kwa tuhuma za kujihusisha na kubaka, kupatikana na pombe haramu ya moshi (gongo), wizi, kuchoma nyumba moto, kupatikana na nyara za serikali pamoja na kupatikana na dawa zidhaniwazo kuwa ni za kulevya aina ya bangi.

SOURCE JAMBOTV INSTAGRAM PAGE
Wameanza tena;!!!
Kwa kweli hii Wizara ni pasua kichwa, haiishi matukio
 
Mfalme wa anga yuko kazini akitumia internet tv nk.Na anaelekea kushinda kwa wasiofuata Nuru.Hii mitandao ikitumika vibaya huambukiza fikra za watu na kuwa mlango wa shetani.Hapo unakuwa umekwisha mkaribisha ktk maisha yako mpaka Nuru itakapokuzukia.Hali ni mbaya
 
Ilikuwa ni uongo.waliojirekodi walikuwa ni wanafunzi Malaya kutoka kayumba Kwa kutumia jina la baobao ili kuichafua. Fuatilia vizuri video za maelezo zimo YouTube kuhusu ukweli wa Hilo tukio
Duuu kweli kitengo Cha propaganda Cha baobab kimeingia mzigoni kwani wale waliojirekodi Kuna sehemu wamendika wanatokea baobab?
 
Bora hao watu wazima wana hiyari kufirwa, aliyezingua ni huyo wa kubaka miaka 4 na 10. Hao wangekatwa mboo hàdharani wapingwe viboko halafu wapekekwe gerezani.
Halafu mahakamani wanaachiwa huru kwa "technical mistakes" za waendesha mashtaka. What a cruel world.
 
YESU KRISTO tuokoe

Maghayo adriz
Yesu alikukomboa kutoka kwenye domo la mamba, akakuagiza ufanye kazi moja tu ya kumfuata ili uweze kuokoka.

Unatakiwa utubu, umwamini na ugeuke kuanza kumfuata Yeye.

Kwa hiyo hatua ya kwanza ya kuokoka inategemea discretion yako, siyo ya Yesu tena.

Ukishaokaoka, ndiyo pale atakapoingia tena kwenye mchakato mzima wa wokovu kwa ajili kukamilisha na kuutunza wokovu wako
 
Back
Top Bottom