Mtwara: Mwalimu atiwa mbaroni kwa kujihusha na mapenzi ya jinsia moja

hapo ni maagizo ya waganga wa jadi, e.g ili kupata mali n.k
 
Tupe story ilikuajee?

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Miaka ile ilikuwa mwanafunzi wa drs la sita au saba km ni mwanaume alikuwa ni mkubwa kuliko miaka hii. Sasa ilikuwa anakuita ofisini kwake alikuwa na ofisi ya peke yake alitengwa na walimu wenzake.
Sasa akikuita au umepeleka madaftar anaza kukushika shika dudu huku anakuliza vipi Mzee amekua?

Balaa lilikuwa pale inatokea siku wanakuja walimu class tunachaguliwa sisi ambao tulionekana kama ni wakubwa tunapelekwa ofisini tunachezea sana fimbo. Ukiuliza kosa nini tunambiwa sisi huwa tukitoka shule tunaenda kwa yule teacher kumpakua tope. Hiyo siku mtachezea fimbo, mtaruka kichurachura, Yani hakuna kuingia class.
Nakumbuka wakat tunakaribia kufanya mtihan wa drs la saba ukapita mchango ili tupate majibu, ila sisi tuliitwa tukambiwa yule shoga tusimwambie maana yule sio mwanaume akishikwa akaminywa
p*mbu kidogo tu atatoa Siri.
Mtwara nadhan kuna shida,
 
mbona haijaisha
 
Sipendi hii tabia ya mkaka, mda wote kono liko ndani ya boksa, afu ukute hata penye watu, hawajari wala nn.

Wananichefua, uchafu tyuuh.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mi zamani nilikua nikiona hivyo natema mate siku nzima ila siku hz nadhani kichefu chefu kimepungua
 
Nimeona iyo video nimejisikia vibaya nikajuta Kwa nin nimeitizama anyway

Kwann watoto wa kiume mnafanya ivi?? Nini kinachochea?? Sababu ni zipi?? Nimejiuliza maswal mengi sipat majibu hay huyo mwalim na watoto wetu vipi jaman khaaa
 
Nimecheka hadi basi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila mwalimu ukiwa Gay, tena ukute unafundisha sec, lazima utashindwa kujizuia, vijana wako aste aste, unajikuta unawaingia ili wakuridhishe kihisia, Lol.

Sasa huyo ticha wenu hadi kwa watoto wa drs la 6 na 7, mmmh hatariii.

Sema issue ya mtwara, imetokana na huyo Dick kupost mtandaoni mambo ya chumbani.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
kwa nini wa2 wanakulana matako??????????????????????????????
 
hamna kitakachobadilika kwan dunia ina miaka 2000!
Usichojua Tabia za jamii huwa zinakuja na kutoeka!
Kama hayo mambo yalianza sodoma miaka 4000 iliyopita na yalipotea yakatlja tena ! so itafika muda itapotea
Kama watu wataendelea kupenda matako unadhani hao watoto watazaliwaje?
 
haumjuwi vizuri huyo Confession ye mwenyewe kaharibika ukubwani akiwa 20 though yeye sio girl. kumbukumbu zake tunazo alishawahi kujitangaza hapa jukwaani na hoja zake zakutuaminisha kuwa ushoga ni maumbile na sio tabia. qmamake shenzi kabisa
Owww asante kwa kukumbuka every detail
 
Dah kijana anakubalije kupelekewa motoooo.
Kijana mwenye misuli yake imaraaa?
Inauma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…