Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 669
- 2,309
Guy you are obsessed with me and this yaonesha how interested you are. Don't sound homophobic to prove a point. Live your lifenakumbuka wewe uliwahi kujieleza kabisa kwamba umezaliwa mwanaume na unashiriki na umeanza kufir.wa at the age of 20 yrs old. haujasoma ST. LIKUD na bado unafir.wa, acha kutupaka matope watu wa ST.LIKUD
I have been saying this for years lakini nobody cares but i strongly believe. Ipo sikuHapa ndio ujue jamii yetu wanaharibikia ukubwani kama matikiti, yaani 4 & 10yrs girls wamedhurumiwa utoto wao ila they have been ignored by people wa humu na matokeo wanajidiliwa watu wazima walio amua kwa hiyari kula na kuliwa mindukuu
oya we shoga msomi leta hoja zinazoeleweka, wewe ni zao la EMS na umechagua kuliwa mnduku na ulijitangaza kabisa hapa jf, kinachonisikitisha unazipaka matope shule za serikali. what the f*ck!Guy you are obsessed with me and this yaonesha how interested you are. Don't sound homophobic to prove a point. Live your life
Umeelewa nilichoandika haaoya we shoga msomi leta hoja zinazoeleweka, wewe ni zao la EMS na umechagua kuliwa mnduku na ulijitangaza kabisa hapa jf, kinachonisikitisha unazipaka matope shule za serikali. what the f*ck!
Ni sahihi japo na maendeleo ya teknolojia yamechangia pianachosema watu wanaenda wanabadilika kulingana na msimu!
hii imechochewa na internet na video chafu!
Watu Wana laana
Mwalimu kamlawiti mjasiriamali...Watu Wana laana
Kwa miaka ile mwanafunzi wa drs la saba alikuwa mkubwa. Yani unamaliza la 7 unaenda kuoa na kuolewa. Na sisi tulikuwa tayar tumechangamka tunapeleka moto km kawaida. Tatizo ilikuwa hii ishu ya ushoga kwetu ilikuwa ngeni.Nimecheka hadi basi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mwalimu ukiwa Gay, tena ukute unafundisha sec, lazima utashindwa kujizuia, vijana wako aste aste, unajikuta unawaingia ili wakuridhishe kihisia, Lol.
Sasa huyo ticha wenu hadi kwa watoto wa drs la 6 na 7, mmmh hatariii.
Sema issue ya mtwara, imetokana na huyo Dick kupost mtandaoni mambo ya chumbani.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Nimesema ukiona mwanaume anamtamani mwanaume naamini unaelewa mwanamke wake mwanaume na mwanaume wake mwanamke au kutaka championship???Ko wanawake nao wana matatizo? Wanawatamani watu ambao hawatamaniki?
Uko timamu wee? Lol
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Umeona msanii wenu pendwa #1Nimeona iyo video nimejisikia vibaya nikajuta Kwa nin nimeitizama anyway
Kwann watoto wa kiume mnafanya ivi?? Nini kinachochea?? Sababu ni zipi?? Nimejiuliza maswal mengi sipat majibu hay huyo mwalim na watoto wetu vipi jaman khaaa
Wameanza tena;!!!Jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Nanyani iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara, Mohamed Ally Kajao (34) na Dickson Paul Tamba (27), mjasiriamali, mkazi wa Mkuti Chini Machinjioni wilayani Masasi, kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja.
Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari Februari 12, 2025 Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Issa Suleiman, amesema tukio hilo lilifanyika Januari 2025 katika nyumba ya kulala wageni (jina limehifadhiwa) ambapo Dickson Tamba aliruhusu kuingiliwa na Mohamed Ally Kajao, kisha kunakili picha mjongeo (video) na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Pia Jeshi hilo linamshikilia mlinzi wa Kampuni ya Kiwango Security, mkazi wa Magomeni wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kike (10) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne mkazi wa Magomeni. Pia linamshikilia na Mkulima Ahmad Mohamed (39) mkazi wa Libobe wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa kike (04) mkazi wa Libobe.
Ameongeza kuwa kwa kipindi cha kuanzia Januari 1, 2025 hadi Januari 31,2025 kupitia doria, misako na operesheni iliyofanyika kwa kipindi hicho Jeshi la Polisi mkoani humo lilifanikiwa kuwakamata watuhumiwa 23 kwa tuhuma za kujihusisha na kubaka, kupatikana na pombe haramu ya moshi (gongo), wizi, kuchoma nyumba moto, kupatikana na nyara za serikali pamoja na kupatikana na dawa zidhaniwazo kuwa ni za kulevya aina ya bangi.
SOURCE JAMBOTV INSTAGRAM PAGE
DicksonKwahyo nani ni mke hapo?
Duuu kweli kitengo Cha propaganda Cha baobab kimeingia mzigoni kwani wale waliojirekodi Kuna sehemu wamendika wanatokea baobab?Ilikuwa ni uongo.waliojirekodi walikuwa ni wanafunzi Malaya kutoka kayumba Kwa kutumia jina la baobao ili kuichafua. Fuatilia vizuri video za maelezo zimo YouTube kuhusu ukweli wa Hilo tukio
Halafu mahakamani wanaachiwa huru kwa "technical mistakes" za waendesha mashtaka. What a cruel world.Bora hao watu wazima wana hiyari kufirwa, aliyezingua ni huyo wa kubaka miaka 4 na 10. Hao wangekatwa mboo hàdharani wapingwe viboko halafu wapekekwe gerezani.
Yesu alikukomboa kutoka kwenye domo la mamba, akakuagiza ufanye kazi moja tu ya kumfuata ili uweze kuokoka.
Kwa Hiyo Kobaz Amejiingilia Mwenyewe?kesi ,mbanga, na mikasa kama dizaini hii lazima mzee wa kobaz awepo
Du video yenyewe inasikitisha. Mijamaa ni minene, halafu linalotoa M nalo chuma kimesimama, linaweweseka tu. Kumbe mashoga wengi nao vyuma vinasimama wanapokuwa wananyanduliwa.Mwalimu kamlawiti mjasiriamali...