Ras Nungwi,
mengi uliyo andika ni ukweli unaumiza hasa tunapokutana viongozi kama Maalim Seif. Huyu Seif aliwahi kuwa waziri kiongozi chini ya CCM na ni wakati huo Wa Unguja walikuja gundua kuwa alipeleka Wapemba wengi nje kusoma na kuboreshga Elimu Pemba kuliko hata Unguja.. Katika wakati wake wa Uongozi hakuna jema ambalo Wazanzibar hasa Wa Unguja, wanaweza kusimama kumpa sifa anazo stahili kama Waziri kiongozi. As a fact, kama sikosei alistaafishwa kiungwana..(naomba kusahihishwa)
Leo hii kwa bumbuazi gani walopigwa Wazanzibar hata kufikiria kuwa Huyu Maalim Seif anaweza leo kuleta changes akiwa nje ya chama tawala?...
Muafaka wa CCM na CUF ni kwa manufaa ya baadhi viongozi ambao wanataka nao kupata share ya ULAJI unaotokea. Karumes sasa hivi ni matajiri wakubwa, wana miliki kila kilichojengwa na marehemu baba yao kwa manufaa ya Taifa...Utajiri wa Zanzibar umekuwa mirathi yao pamoja na viongozi wengine, hivyo kama kweli CUF wana nia nzuri kwa nini wasianze na kupinga Ufisadi unaotendeka Zanzibar!..Hao kina Juma duni tunawasikia tu nje ya mabaraza lakini sijawahi kumsikia Maalim Seif wala kiongozi wa CUF akisimama bungeni ama nje kuelezea mabaya haya..
Kila siku tunachosikia wakisema ni kuhusu Muafaka, dhulma ya kura za wananchi, vifo vya wananchi wakati wa upigaji kura, Zanzibar ilivyoshamir wakati wa Sultan na kadhalika, halafu hawa hawa ndio tunawakuta wakila sahani moja na viongozi mafisadi.. Je, huu ndio mchezo mchafu wa siasa zetu!
Hivyo sii kazi ndogo kuweza kupata suluhu ya muafaka hasa ikizingatiwa kwamba Zanzibar nzima haina vyama viwili tu... Navyosikia mimi pendekezo kubwa la CUF ni kwamba ikiwa rais atatoka CCM basi waziri kiongozi lazima atoke CUF, hoja kama hii ina raise question toka vyama vinginevyo!..
Mwiba,
Unaposema mapinduzi yalikuwa haramu kwa sababu hakuna maendeleo ni matusi makubwa kwa wananchi wa Zanzibar.. nilisha kwambia kwamba kabla ya mapinduzi pamoja na ushindi wa chama cha Hizbu, Sultan alikabidiwa nchi kama mtawala.. WHY?.. Je, wananchi waliambiwa kuwa hizbu ikishinda Sultan atarudishwa!...na kulikuwepo na haja gani ya kumrudisha Sultan..
Mkuu acha Upemba kutazama upande mmoja tu wa shilingi, sioni kabisa sababu ya kupindisha maneno ya Nungwi ambaye kisha sema tujadili Upande wa pili wa shilingi..Na ndio upande aliozungumzia kama una hoja inayopingana nadhani utatusaidia sana kama utaizungumza tukotana na sura hii..
mengi uliyo andika ni ukweli unaumiza hasa tunapokutana viongozi kama Maalim Seif. Huyu Seif aliwahi kuwa waziri kiongozi chini ya CCM na ni wakati huo Wa Unguja walikuja gundua kuwa alipeleka Wapemba wengi nje kusoma na kuboreshga Elimu Pemba kuliko hata Unguja.. Katika wakati wake wa Uongozi hakuna jema ambalo Wazanzibar hasa Wa Unguja, wanaweza kusimama kumpa sifa anazo stahili kama Waziri kiongozi. As a fact, kama sikosei alistaafishwa kiungwana..(naomba kusahihishwa)
Leo hii kwa bumbuazi gani walopigwa Wazanzibar hata kufikiria kuwa Huyu Maalim Seif anaweza leo kuleta changes akiwa nje ya chama tawala?...
Muafaka wa CCM na CUF ni kwa manufaa ya baadhi viongozi ambao wanataka nao kupata share ya ULAJI unaotokea. Karumes sasa hivi ni matajiri wakubwa, wana miliki kila kilichojengwa na marehemu baba yao kwa manufaa ya Taifa...Utajiri wa Zanzibar umekuwa mirathi yao pamoja na viongozi wengine, hivyo kama kweli CUF wana nia nzuri kwa nini wasianze na kupinga Ufisadi unaotendeka Zanzibar!..Hao kina Juma duni tunawasikia tu nje ya mabaraza lakini sijawahi kumsikia Maalim Seif wala kiongozi wa CUF akisimama bungeni ama nje kuelezea mabaya haya..
Kila siku tunachosikia wakisema ni kuhusu Muafaka, dhulma ya kura za wananchi, vifo vya wananchi wakati wa upigaji kura, Zanzibar ilivyoshamir wakati wa Sultan na kadhalika, halafu hawa hawa ndio tunawakuta wakila sahani moja na viongozi mafisadi.. Je, huu ndio mchezo mchafu wa siasa zetu!
Hivyo sii kazi ndogo kuweza kupata suluhu ya muafaka hasa ikizingatiwa kwamba Zanzibar nzima haina vyama viwili tu... Navyosikia mimi pendekezo kubwa la CUF ni kwamba ikiwa rais atatoka CCM basi waziri kiongozi lazima atoke CUF, hoja kama hii ina raise question toka vyama vinginevyo!..
Mwiba,
Unaposema mapinduzi yalikuwa haramu kwa sababu hakuna maendeleo ni matusi makubwa kwa wananchi wa Zanzibar.. nilisha kwambia kwamba kabla ya mapinduzi pamoja na ushindi wa chama cha Hizbu, Sultan alikabidiwa nchi kama mtawala.. WHY?.. Je, wananchi waliambiwa kuwa hizbu ikishinda Sultan atarudishwa!...na kulikuwepo na haja gani ya kumrudisha Sultan..
Mkuu acha Upemba kutazama upande mmoja tu wa shilingi, sioni kabisa sababu ya kupindisha maneno ya Nungwi ambaye kisha sema tujadili Upande wa pili wa shilingi..Na ndio upande aliozungumzia kama una hoja inayopingana nadhani utatusaidia sana kama utaizungumza tukotana na sura hii..