nyogolenga
Member
- Nov 3, 2018
- 54
- 122
Kama ukiweza kumjibu Mwalimu Ntuntu Ayo maswali ata kwa kumfwata inbox ingekupa mwanga vzr sana : kunajamaa yangu nilikuwa nafanya nae kazi akaona ngoja ajiogeze kusoma masters ! ila pale ofisini Kuna Mzee mmoja akamwambia kijana icho kitu unachotaka kufanya usimwambie mtu piga kimya kimya , then mwisho wa siku njoo na cheti , ila jamaa akufanya ivo boss akazipata story zake kuwa jamaa anasoma , kilichotokea Sasa jamaa kashalipa mpk ada imebaki wiki Moja kuaza ue akapata barau kutoka ofisini ameamishwa kituo cha kazi Tena kapelekwa mbali zaidi ndoto ya masters Ili kata hapo hapo ! Maswali aliyokuuliza uyo jamaa yapo vzr sana kama ukitazama kwa jicho la tatuMm ni muajiriwa mpya wa serikali ni mtu wa afya muhimbili hospital ila nahitaji kusoma muhimbili University