Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Hakuna watu wanafiki kama nyie!Marekani ilikuja kwa interest zake. Gaddafi ndio alishindwa kuwasaidia Walibya kwa kushindwa kuweka misingi madhubuti ya kupokezana uongozi pamoja na kukaa madarakani zaidi ya miaka 40. Matokeo yake alivyoondoka kila kitu kikavurugika