Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa 3 badoTundu Lissu yuko mubashara Clouds FM, akichambua kuhusu Tume hii ya uchaguzi. Atakuwepo hadi saa 3 asubuhi, wapo na Zitto Kabwe na Onesmo Ole Ngurumwa.
Tusikilize uchambuzi makini.
Masaliti ya nchi yamekusanywa hapo
Usiwe mjinga kwani zito anaenda kubishana na TunduLisuYani uwepo wa zitto umeondoa hamu ya kusikiliza! Zitto ni mnafiki haaminiki kabisa
Zito anaongea vizuri. Namwelewa..Zitto uchawi umetafuna sana akili yake. Anaona wivu sana kumpa mileage Lissu alivyotema nondo hapa anajitafuna tafuna huku akijaribu kutetea huu ujinga.
Zitto ni totally a lost case!
Ndio anaondoka hivyo,Zitto yuko naye sahiviNamuamini Tundu Lissu. Sio mnafiki. Namshauri abaki chadema asiende Nccr au hata ACT atajishusha kisiasa
Kama lipiKuna maswali ya mtego kipanya kamuuliza tundu! Tundu kastukia mtego akamjibu tafuta kipindi kingine hy ni mada nyngn leo tunaongelea tume nikasikia studio background siza anamwambia kipanya leo "utajua hujui" huku lisu akiendelea kuongea sijajua maana yake huu msemo
Hao ni wahuni tu kama wahuni wengine serikali inafanya mabadiliko wao wanakusanyana kubwabwaja bila kutoa majibu tunapaswa kuridhika na mabadiliko yaliyopo ndio tuendelee kudai mengineTundu Lissu yuko mubashara Clouds FM, akichambua kuhusu Tume hii ya uchaguzi. Atakuwepo hadi saa 3 asubuhi, wapo na Zitto Kabwe na Onesmo Ole Ngurumwa.
Tusikilize uchambuzi makini.
Ni bora kuishi na mchawi kuliko mnafiki kama ZittoUsiwe mjinga kwani zito anaenda kubishana na TunduLisu
Tunapaswa kuridhika na mabadiliko sahihi na sio mabadiliko kwa matakwa ya serekali.Hao ni wahuni tu kama wahuni wengine serikali inafanya mabadiliko wao wanakusanyana kubwabwaja bila kutoa majibu tunapaswa kuridhika na mabadiliko yaliyopo ndio tuendelee kudai mengine
Mkuu tuunganishe na Hiyo LiveTundu Lissu yuko mubashara Clouds FM, akichambua kuhusu Tume hii ya uchaguzi. Atakuwepo hadi saa 3 asubuhi, wapo na Zitto Kabwe na Onesmo Ole Ngurumwa.
Tusikilize uchambuzi makini.
Eti mabadiliko.Tunapaswa kuridhika na mabadiliko sahihi na sio mabadiliko kwa matakwa ya serekali.
Kwa hiyo zitto yuko Clouds akiwakilisha Prof Mkandala wa ccm?Ni bora kuishi na mchawi kuliko mnafiki kama Zitto