Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Another Chawa.....at workHao ni wahuni tu kama wahuni wengine serikali inafanya mabadiliko wao wanakusanyana kubwabwaja bila kutoa majibu tunapaswa kuridhika na mabadiliko yaliyopo ndio tuendelee kudai mengine
Sio tu kujiuzulu hao wapya wenyewe wako Huru kiasi gani?Zito anaongea vizuri. Namwelewa..
Anasema kwa waru makini watu wote ambao wapo kwenye tume ya taifa ya uchaguzi kwa maana ya Mkurugenzi na kamisha wa tume na msururu wa watu waliopo kwenye ofisi ya tume walipaswa kujiuzulu toka jana. Ili kupisha mchakato wa kupata watu wapya.
Na wewe kumbe una mkubali Mwamba?Namuamini Tundu Lissu. Sio mnafiki. Namshauri abaki chadema asiende Nccr au hata ACT atajishusha kisiasa
Ngoja tuifate huko clouds online kama imetumwaImeisha
Hahaaaa Huyu Msomi aliyebobea some time anajua vitu mpaka anakera.Tundu Lissu yupo live Clouds FM anachambua Tume Huru uchwara ya Rais Samia.
Anaeleza suala la kuweka tume ya uchaguzi bila kubadili vifungu vya katiba ni uhuni wa kiwango cha kushangaza sana.
Anaendelea.....
umeshachelewa.Namuamini Tundu Lissu. Sio mnafiki. Namshauri abaki chadema asiende Nccr au hata ACT atajishusha kisiasa
Zitto anasemaje kwani, yuko upande gani?Zitto uchawi umetafuna sana akili yake. Anaona wivu sana kumpa mileage Lissu alivyotema nondo hapa anajitafuna tafuna huku akijaribu kutetea huu ujinga.
Zitto ni totally a lost case!
Kwenye Wokovu Ndugu yangu hakuna aliyewahi wala kuchelewa.umeshachelewa.
Wamekuja na tamthilia gani!Tundu Lissu yuko mubashara Clouds FM, akichambua kuhusu Tume hii ya uchaguzi. Atakuwepo hadi saa 3 asubuhi, wapo na Zitto Kabwe na Onesmo Ole Ngurumwa.
Tusikilize uchambuzi makini.
kachelewa kutoa ushauri mtu keshasepa ndo anashauri!Kwenye Wokovu Ndugu yangu hakuna aliyewahi wala kuchelewa.
Aliyeamini Mafundisho ya Mtume Muhammad mwaka 60 na aliyeamini tangu juzi wote wana ujira sawa mbele ya Allah Tabaraqa wataalah
Hahaha......ndio amefunguka akilikachelewa kutoa ushauri mtu keshasepa ndo anashauri!
imeiasha hiyoo.Hahaha......ndio amefunguka akili
Ni wanasiasa wenye nguvu.....hawakwepekiimeiasha hiyoo.
huu muungano wa kuambatana Lisu na Zito umetokea wapi ghafla kipindi hiki!.
Wewe unadhani mbowe anafurahia hili kusanyiko la kinafiki?Usiwe mjinga kwani zito anaenda kubishana na TunduLisu
haa,,,Kwamba awakwepeki.huu muungano wa Ziyo na Chiba Bavicha wataanza kumchukia Chiba.Ni wanasiasa wenye nguvu.....hawakwepeki
Utasubiri sana. Tundu Lissu ukimchukia utaumia mwenyewe muulize Ndugaihaa,,,Kwamba awakwepeki.huu muungano wa Ziyo na Chiba Bavicha wataanza kumchukia Chiba.
wakae wakijua hilo.Utasubiri sana. Tundu Lissu ukimchukia utaumia mwenyewe muulize Ndugai
Haitatokeawakae wakijua hilo.
ngoja tusubiri masiku machache yajayo.Haitatokea