Muda gani sahihi wa kubadili oil kwenye pikipiki

Muda gani sahihi wa kubadili oil kwenye pikipiki

Asante kwa maelezo murua mkuu.

Nina maswali mengine mawili naomba pia niulize;
1. Nina boxer Bm150 nyuma kwenye shock ups haigusi wala haigongi (iko comfortable) lakin nikipita kwenye bums (hasa nikipakia mtu) wakati wakunesa shock ups zinatoa kamlio flan hivi "kwich kwichi" kwa mbaali,, nilienda kwa fundi akaniwekea oil lakin bado inaendelea kutoa hako kamlio,, tatizo inaweza kuwa ni nin boss?

2. Pia kwenye hio boxer battery yake naona imechoka nimeshauriwa nikabadili maji ya battery,, naomba kufahamu ni kwa muda gani betri itakua na nguvu yakutosha ikiwa na maji mapya kabla yakubadili tena.

Nawasilisha
Mkuu hiyo ya kelele kwenye shock up naonaga kawaida tu hata mimi inanitokeaga..kuhusu battery achana na battery za maji kwanza zitakuchafulia piki piki hasa kwenya kale kafuniko ka chaini box kanakofunika sprocket ya mbele,nunua battery amabayo ni dry utafurahia.
 
Mkuu hiyo ya kelele kwenye shock up naonaga kawaida tu hata mimi inanitokeaga..kuhusu battery achana na battery za maji kwanza zitakuchafulia piki piki hasa kwenya kale kafuniko ka chaini box kanakofunika sprocket ya mbele,nunua battery amabayo ni dry utafurahia.
Shukran mkuu,,
Ule mlio ukanipa wasiwasi nikahisi labda ndo shock ups kuisha nn?

Hivi dalili za shock ups kuisha ukiachana na kugonga ninapo pita kwenye bums nyingine ni kama ipi kwamfano?
 
Wakuu ile Bm 150 niliyinunua mwezi wa saba Leo nimebadili jino namba 3 kwenye gear box hv nn litakuwa tatizo hapo wakuu
 
Shukran mkuu,,
Ule mlio ukanipa wasiwasi nikahisi labda ndo shock ups kuisha nn?

Hivi dalili za shock ups kuisha ukiachana na kugonga ninapo pita kwenye bums nyingine ni kama ipi kwamfano?
Shock up zikiisha kwenye bums piki piki inakuyumbisha haitulii..wasi wasi wako tu Mkuu,siku zikiisha utajua tu maana ukiweka kamzigo lazima iende chini usishangae ikagusa hata tairi.
 
Ukiwa unaendesha ukiweka gear #3 utasikia mvumo kwenye chain box ambapo gear zingine zitakuwa hazitoi huo mvumo kabisa
 
Tank la boxer original ni ngumu kunyoosha likawa kama mwanzo kutokana na ukweli kuwa ni mazito mno,labda lichanwe kidogo ipatikane sehemu ya kuingiza kitu linyooshwe then lichomelewe kwa gesi..ila Mkuu kama piki piki injini ni nzima chukua then kanunue tank jipya original haizidi 120,000/= maana ukilinyoosha lililopinda utaharibu umbo la boxer but kuwa makini yapo ma tank ya kichina kama sio mtaalamu huwezi jua kama ni fake yenyewe haizidi 80,000/= na ukiweka hili kwenye maungio ya tank na bumper inabaki nafasi so components za ndani kama battery zinaonekana na utapoteza muonekano wa boxer.Ukihitaji maelezo ya kutofautisha tank fake na original ntajaribu kukusaidia.
mkuu unalijua duka lolote la vifaa og vya boxer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa maelezo murua mkuu.

Nina maswali mengine mawili naomba pia niulize;
1. Nina boxer Bm150 nyuma kwenye shock ups haigusi wala haigongi (iko comfortable) lakin nikipita kwenye bums (hasa nikipakia mtu) wakati wakunesa shock ups zinatoa kamlio flan hivi "kwich kwichi" kwa mbaali,, nilienda kwa fundi akaniwekea oil lakin bado inaendelea kutoa hako kamlio,, tatizo inaweza kuwa ni nin boss?

2. Pia kwenye hio boxer battery yake naona imechoka nimeshauriwa nikabadili maji ya battery,, naomba kufahamu ni kwa muda gani betri itakua na nguvu yakutosha ikiwa na maji mapya kabla yakubadili tena.

Nawasilisha
hizo shokup hazina shida nikawaida sana kwa boxer zisikuumize kichwa ila betri ukiweka maji inatakiwa utembelee umbali flani kama bdo itazingua basi itakua cell zishaanza kufa tafuta betri ingine dry

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boxer 150, kutokuwakia kwenye gia ukiminya starter, na muda mwingine kuchelewa kuwaka ukiminya starter shida inaweza kuwa nn?
 
Wakuu
Boxer huwa zinakwenda Kms ngapi hivi kwa litre 1 ya petrol?
 
Back
Top Bottom