MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
Yes it is possibleHivi naweza toka dodoma mpaka mwanza na boxer ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes it is possibleHivi naweza toka dodoma mpaka mwanza na boxer ?
Kabadilishe hizo zishakwisha habari yakeshock up za mbele kuvuja.. huchangiwa na nini?
Mkuu inatakiwa iende at least km ngap kwa litre.Hapo Kuna shida akachek kableta
125 huwa ni km 75-80, alafu ya 150 ni 65kmMkuu inatakiwa iende at least km ngap kwa litre.
na kwanini piki piki ina miss?Kabadilishe hizo zishakwisha habari yake
chuma isharekebishwa inawakia kwenye gia vizuri, hivi oil filter original ya boxer bei gani?na ibadilishwe kila ukimwaga oil mara ngapi?shukrani mkuu ngoja ikaonwe na fundi
Labda wanatembea mwisho speed 50kph... yaani uvute mafuta 90kph to 100kph halafu ikupe 60 au 80 kwa litre moja? Means dar-moro unatumia litre 2 tu? HahahahahaaHii kitu siaminigi..me kwa tvs king lita tano napata kwanzia kilometa 130 hadi 150 wastani
Wastani wa speed yako huwa ngapi mkuu?Mimi had 80km ninayo ile ya gia4 for rough road
Mwendo mdogo sana maana huwa natumia kulia bata tu na chalii zanguWastani wa speed yako huwa ngapi mkuu?
Hapo inawezekana mkuu, ila Bata unazifuata mbali sana chief(80km).... hahahahahaMwendo mdogo sana maana huwa natumia kulia bata tu na chalii zangu
Huwaaa nakaa mda mrefu bila kurud home so nina bm150 ipo ndan tu..duniaa inabadlika sana ukiwa na usafir safar haziishii lazma ukajione na ku discover new area..Hapo inawezekana mkuu, ila Bata unazifuata mbali sana chief(80km).... hahahahaha
MkuuLabda wanatembea mwisho speed 50kph... yaani uvute mafuta 90kph to 100kph halafu ikupe 60 au 80 kwa litre moja? Means dar-moro unatumia litre 2 tu? Hahahahahaa
Hiyo pikipiki mkuu ina shida, juz nimeweka lita 2 nimeenda Km 90 na bado yapo, ina miaka miwli na nusu Barabaran, tvs stars 125Hii kitu siaminigi..me kwa tvs king lita tano napata kwanzia kilometa 130 hadi 150 wastani
Bajaji tvs king yenye kilo 350 kerb weight ukibeba watu wanne plus 1 driver mfano wenye kilo 65 kila mmoja as avg kama hakuna milima mikali unapata 28-30km per literMkuu
Yani mimi kusema et 60km/litre bado sina imani 100%
Maana kuna BM 125 apa inapiga kila siku 40km
Imepigwa services zote, engine imetulia hakuna sijui kutoa moshi mweusi wala kelele ya ajabu,
Lakin inatumia 1litr kwa 40km.
Na mwendo ni 80kph.
Sas kuna haja ya kuanza kuchokonoa carburetor kupunguza ulaji au ndo tutaiharibu?
Wewe hua unatumia oils gan??Mkuu hongera sana kwa kununua Boxer..kwenye user manual ya Boxer BM 150 wanakuambia utumie oil ambayo ni SAE 20w50 API SL or JASO MA grade na umwage oil kila baada ya kilometer 5000,bila kusahau kubadili oil filter kila baada ya kilometer 20,000(kama ni oil filter original) basi hapo utadumu nayo.Binafisi huwa siangalii kilometer nimejiwekea tu utaratibu wa kumwaga oil na kubadili oil filter kila mwisho wa mwezi maana oil filter tunazouziwa huku sio original..kwa kufanya hivyo hadi leo piki piki bado mpya na haijafunguliwa injini japo inakimbilia mwaka wa 3.