Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Vola...wamekupa zawadi ya simu sababu uko biased. yaani you have only one story.
Hongera sana Mzee Mohamed Said, Kumbe jamii forums tuna hazina nzuri ya wazee. Hongera nyingi pia kwako Maxence Melo, kazi nzuri, keep up!MUDA HAUTOSHI NA MAXENCE MELO WA JF
Leo nyumbani kwangu nimempokea kijana ambae siwezi kuwa na maneno ya kutosha kumweleza.
Ameifanyia Tanzania makubwa.
JF imenifanya mimi nifahamike kwa kusomwa ulimwengu mzima walipo wazungumzaji wa Kiswahili.
Katika kunisoma huku ndiko wengi wakaijua historia ya TANU na uhuru wa Tanganyka ambayo si wengi walikuwa wanaijua.
Sina cha kuwalipa.
MM amefika kwangu kunikabidhi cheti changu na zawadi nzuri sana ya simu.
View attachment 1977049
Citizen...ila we mzee mbona waga muongo Sana?unapata faida Gani?
Bagamoyo,Hongera Mzee Mohamed Said kwa mchango wako endelevu wa kutusomesha historia kupitia JF.
Kindi...hongera sana mkuu, tunajifunza mengi kupitia wewe
Ab...Hongera sana Mzee Mohamed Said, Kumbe Jamii Forums tuna hazina nzuri ya wazee.Hongera nyingi pia kwako Maxence Melo, kazi nzuri, keep up!
Deep...Hakika amestahili,ni Jambo la busara kumtuza na kumuonesha thamani ya anachokifanya mtu akiwa bado yupo hai kongole kwake mzee Mohammed na kazi nzuri kwanu JF.
Dumas...Hongera Sana Mzee wetu MS
Ulistahili Kwa mchango wako uliotukuka,
Hongera mkuu Mexence Mello
Na Uongozi wa JF Kwa kutambua mchango wa Mzee wetu!
ππππ