Muda huu mlango wa chumbani kwangu umefunguka wenyewe

Muda huu mlango wa chumbani kwangu umefunguka wenyewe

Niliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio

Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Ndoto za mchana izo
 
Haukuufunga....

When you have eliminated the impossible, whatever remains, however improbable, must be the truth.

Sherlock Homes...
 
Niliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio

Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Hahaha vitu vidogo hivyo.

Mimi hapa kwangu mauzauza hadi unakuta bomba za bafuni zinafunguliwa maji huku kukiwa hakuna mtu huko...

Ukijitia uoga ndo wanacjokitafuta kwako na watakuumiza ukiogopa
 
Niliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio

Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Wachawi at work.
 
Piga goti,fumba macho,anza kumuomba Yesu wa Nazareth akulinde na kukupigania,omba kwa kumaanisha,ila anza kwanza na toba siunajua Yesu ni mtakatifu,otherwise anaweza akawa anasikia kelele tu...
Naelewa unachoongea, natamani hata unayemweleza naye aelewe katika kiwango ambacho mimi naelewa. Sijui kwa nini vitu ambavyo ni OBVIOUS, huwa ni vigumu kueleweka kwa watu tulio wengi.
Kinachoniumiza sana mimi katika maisha yangu yote mpaka muda huu, ni kuona kile ninachokielewa na ambacho ni sahihi kwa zaidi ya asilimia 100%, wengi hawakielewi na wanaona wako sahihi kwa kutokuelewa kwao. Inaniuma sana
 
Back
Top Bottom