low thinking capacity
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 1,323
- 1,496
Acha uoga lipa madeni ya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza,hukutakiwa ku panic,ungetulia tulii,halafu umwambie karibu mgeni,sijui nikusaidie nn!!,Tafadhali usinifanye nisilale humu ndani usiku huu!
sasa mzee unaona hali n ya kawaida hiyo sepa waachie nyumba yaoPleaseee nipo serious
Hukula mke wa mtu brother?Niliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio.
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Leo unapigwa pulley!Pleaseee nipo serious
Lipa madeni ya watu ukae kwa uhuru kijana, bila hivo utaendelea kuishi kwa hofuNiliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio.
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?