Ni hivi haukuufunga mlango vizuri. Upepo ukausukuma taratibu. Ukapaniki hujachunguza ulimi wa Kitasa umefunga vizuri au uliingia pembeni ya tundu. .ni hayo tu.Hakuna, nilifunga na kitasa, na ni Mara ya kwanza haukuwahi kusumbua. Pia funguo niliiacha katika tundu la kitasa pale pale!