Mnyalukolo Vahukaye
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 461
- 379
Ndoto za mchana izoNiliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Hahahahah we' jamaa nipo seriousHapo kuna malaika wa ma deal amekuja kukujaza upepo ili usepe hapo ghetto ukiingia mtaa leo ni siku yako yakupiga kimango arif. Unaweza okota hata bakubaku ya mtasha.
Namaanisha usiku wa leo!Hapana chezea bange wewe
Hakika imemfanya vibaya [emoji1787][emoji1787][emoji1544]Hapana chezea bange wewe
Tukio litokee mchana lakini uwaze jinsi ya kulala usiku,Namaanisha usiku wa leo!
Hahaha vitu vidogo hivyo.Niliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Same to you my loveHakika imemfanya vibaya [emoji1787][emoji1787][emoji1544]
Happy New Year Babe [emoji8]
hahahaha dah kweli ni mawenge!! Nimshauri bangi asivute bila ya kulaSaa hizi Dar ni usiku? Mbona kama una mawenge ya bangi?
Kashavutaa tyr huyuuHuu muda ni usiku kwa Dsm??
Kashavutaa tyr huyo c bureeSaa hizi Dar ni usiku? Mbona kama una mawenge ya bangi?
Wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wachawi at work.Niliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Naelewa unachoongea, natamani hata unayemweleza naye aelewe katika kiwango ambacho mimi naelewa. Sijui kwa nini vitu ambavyo ni OBVIOUS, huwa ni vigumu kueleweka kwa watu tulio wengi.Piga goti,fumba macho,anza kumuomba Yesu wa Nazareth akulinde na kukupigania,omba kwa kumaanisha,ila anza kwanza na toba siunajua Yesu ni mtakatifu,otherwise anaweza akawa anasikia kelele tu...