Ni hivi haukuufunga mlango vizuri. Upepo ukausukuma taratibu. Ukapaniki hujachunguza ulimi wa Kitasa umefunga vizuri au uliingia pembeni ya tundu. .ni hayo tu.Hakuna, nilifunga na kitasa, na ni Mara ya kwanza haukuwahi kusumbua. Pia funguo niliiacha katika tundu la kitasa pale pale!
Moyo una speed ngapi kwenye Kona? [emoji38][emoji38][emoji38]Niliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio.
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Dah! Nyumban miaka miwili nyuma hali kama hiyo ilijitokeza milango ilikua inajifungua yenyewe mara maji yanamwagika nilipangisha wapemba walivyoniambia sikuwah kukanyaga hadi wakahama wenyewe nyumba ikakaa tupu miez minne sahiv nimeweka mpangaj na ile hali haipo hata sikujuaga ni nini hadi leoNiliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio.
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Sinza miaka ya 90 ukitokea kumekucha Kama unaenda lion hotel barabara ya pili unakunja Kona kuna nyumba 2 pale zilikuwa full mauzauza ukiingia ndani ulikuwa unachezea kichapo cha mbwa koko alafu anayekupiga humuoni...!!!Dah! Nyumban miaka miwili nyuma hali kama hiyo ilijitokeza milango ilikua inajifungua yenyewe mara maji yanamwagika nilipangisha wapemba walivyoniambia sikuwah kukanyaga hadi wakahama wenyewe nyumba ikakaa tupu miez minne sahiv nimeweka mpangaj na ile hali haipo hata sikujuaga ni nini hadi leo
Unajuaje kama ni nguvu za giza? Je, kama si nguvu ya giza bali ni nuru?Ni nguvu za giza hizo,washakupima huna nguvu yoyote.U need to pray hardly....mi waninyanyua na godoro kabisa pasipo jina la yesu ningeshakuwa chiz
Big NoNi hivi haukuufunga mlango vizuri. Upepo ukausukuma taratibu. Ukapaniki hujachunguza ulimi wa Kitasa umefunga vizuri au uliingia pembeni ya tundu. .ni hayo tu.
Usiku huu???Upo Nchi Gani?Tafadhali usinifanye nisilale humu ndani usiku huu!
🤣🤣🤣🤣🤣Hii nayo kaliSaa hizi Dar ni usiku? Mbona kama una mawenge ya bangi?
Wake za watu hawafai brooNiliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio.
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Kama sio mbovu kwanini uufunge na nguo? Huo mlango ni mbovu acha kujipa stress na presha buree tuNiliufunga na funguo nikaacha kwenye kitasa, sasa wakati nikiendelea na shughuli zangu nikaona mlango unafunguka wenyewe taratibu sana, nimeogopa kwani ni mara ya kwanza kunitokea hili. Nimejaribu kuufunga na kuufungua umefunguka kwa kasi sana. Sio siri Nina hofu muda huu, moyo unaenda mbio.
Mlango si mbovu na haujawahi kujifungua automatic, jamani niombeeni nini hiki?
Bas ibarikiwe kunyanyuliwa juu,kung'ata meno,mlango kutikiswa ni nuru?😳Unajuaje kama ni nguvu za giza? Je, kama si nguvu ya giza bali ni nuru?
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app