Muda huu mlango wa chumbani kwangu umefunguka wenyewe

Tunaishi na roho nyingi zisizoonekana hata mambo yako mengi unayofanya kwa Siri hua kuna roho zinakutizama ila umewekea giza la kutoona labda ungezimia kwa presha hata tunapokula chakula hua hatuli pekee yetu kuna roho tunakula nazo sasa huyo labda ni ndg yako kaja kukusalimia
 
Pleaseee nipo serious
sasa mzee unaona hali n ya kawaida hiyo sepa waachie nyumba yao

kama umepanga basi hiko chumba ndio walikua wanakitumia kufanya mambo yao

kama umejenga basi umejenga eneo lao la mikutano sepa mzee
 
Dar bwana, ina maana unashindwa kutoka nje kuangalia anayehangaika na mlango wako umpige mabanzi, umekatalia ndani.
 
Hukula mke wa mtu brother?
Natafuta chanzo ili nijue
namna ya kukusaidia.
Vinginevyo watakutoa roho
yako kabisa😀😀
 
Lipa madeni ya watu ukae kwa uhuru kijana, bila hivo utaendelea kuishi kwa hofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…