Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Aidha yatufurahishe ama la, tutayapokea maamuzi yoyote ya majaji kwa mikono miwiliHatuna kura nyingi hata mkuu. Awamu hii sijaomba kura ya mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aidha yatufurahishe ama la, tutayapokea maamuzi yoyote ya majaji kwa mikono miwiliHatuna kura nyingi hata mkuu. Awamu hii sijaomba kura ya mtu
Kweli. Hivo labda lini wanatoa huu mkeka.?Aidha yatufurahishe ama la, tutayapokea maamuzi yoyote ya majaji kwa mikono miwili
Sema awamu hii hatuja ingia pm ya mtu kuomba kura tuliepuka solicit kwenye hili jambo. Ni wao tu watuone tuna.stahili ama.laahAidha yatufurahishe ama la, tutayapokea maamuzi yoyote ya majaji kwa mikono miwili
Labda kabla ya Ijumaa with reference to the last competitionKweli. Hivo labda lini wanatoa huu mkeka.?
Ule haikuwa msafara wa Kikazi ndgWe ndio huna akili,ishu sio kupanda basi ishu ni kwa nini wakija huku misafara yao inakuwa na magari 60,wakati wangeweza kupunguza gharama
Ok. Acha tuone itakavyokua. Tunaweza penya kweli au nyuzi zilikua kama zoteLabda kabla ya Ijumaa with reference to the last competition
Kupenya ni ngumu sana mkuu. Kura zangu ni chache sanaOk. Acha tuone itakavyokua. Tunaweza penya kweli au nyuzi zilikua kama zote
Kupenya ni ngumu sana mkuu. Kura zangu ni chache sana
Kumbuka huwa wanapanda ndege moja wakienda mikoani kwenye ziara,bus watapanda kwa route fupifipi wakiwa ma escotMkuu, sasa ukiweka mawaziri wote ndani ya bus moja kisha likatokea la kutokea hauoni kama unaweza kukuta tunapoteza serikali nzima ndani ya dakika chache tu/within fraction of a second?
Lakini hao marais waliopanda bus moja hata likitokea la kutokea kila nchi inakuwa imepoteza Rais mmoja mmoja tu. Kumbuka mawaziri wote ni marais watarajiwa.
NB: Siombei jambo lolote baya kwa viongozi wetu na hata wa nchi jirani. Mungu tunakuomba uepushie mbali wote warudi salama.
Ishu sio kikazi au sio kikazi wapande mashutle tuUle haikuwa msafara wa Kikazi ndg
Sawa mkuuKumbuka huwa wanapanda ndege moja wakienda mikoani kwenye ziara,bus watapanda kwa route fupifipi wakiwa ma escot
Pia watanzania tuko mili 70 hata wakifa tutapata wengine tu
Issue sio kupanda basi huko. Kwanini wakiwa huku wanajua na misafara ya magari ya kifahari zaid ya 80. Huku nchi ni maskn sanaIla kweli kwa zile nyuzi na comments za jana, sisi weusi tuna shida sana sana. Yaani Raisi wa Ujerumani kapanda basi na raia wake wala hawana shida. Waziri mkuu wa New Zealand, Raisi wa Italia, Raisi wa EU n.k... vile vile na huoni malalamiko yoyote. Ndio utajua wengi hatuna exposure, tuna uelewa mdogo, tunapenda ufahari. Hizi ni dalili za udumavu wa akili na sababu kubwa ni lishe duni kabla na baada ya kuzaliwa na wakati wa makuzi yetu.
Mbona hata kwenye misiba kunakua na misafara ya magari zaidi ya 60Wewe ni miongoni mwa wale waliokosa lishe bora na kupelekea akili kudumaa.
Mnashindwa kutofautisha kitu kidogo tu msiba na official state visit.
Hilo ni swali la muhimu sana na ni wao viongozi wanapaswa kujitathmini baada ya tukio hilo la Uingereza. Lakini hatupaswi kuwalaumu waliowapandisha mabasi, shughuli yenyewe ilikuwa ni kubwa na mamia ya viongozi, isingewezekana kuwa na msafara wa kila kiongozi. Ni muda wa sisi pangu pakavu kujitathmini. Nilimuona waziri wa fedha akiwa ziarani mkoa mmoja wa kanda ya ziwa, msafara mkubwa na mbwembwe kibao na wakati huko U.S.A waziri wa fedha anapanda ndege, economy class bila shida yoyoteIssue sio kupanda basi huko. Kwanini wakiwa huku wanajua na misafara ya magari ya kifahari zaid ya 80. Huku nchi ni maskn sana