Muda ni protocol ya usafiri kwenye msiba wa Malkia, kila kiongozi angetumia usafiri wake kungekuwa na foleni

Muda ni protocol ya usafiri kwenye msiba wa Malkia, kila kiongozi angetumia usafiri wake kungekuwa na foleni

S
Aidha yatufurahishe ama la, tutayapokea maamuzi yoyote ya majaji kwa mikono miwili
Sema awamu hii hatuja ingia pm ya mtu kuomba kura tuliepuka solicit kwenye hili jambo. Ni wao tu watuone tuna.stahili ama.laah
 
Mkuu, sasa ukiweka mawaziri wote ndani ya bus moja kisha likatokea la kutokea hauoni kama unaweza kukuta tunapoteza serikali nzima ndani ya dakika chache tu/within fraction of a second?

Lakini hao marais waliopanda bus moja hata likitokea la kutokea kila nchi inakuwa imepoteza Rais mmoja mmoja tu. Kumbuka mawaziri wote ni marais watarajiwa.

NB: Siombei jambo lolote baya kwa viongozi wetu na hata wa nchi jirani. Mungu tunakuomba uepushie mbali wote warudi salama.
Kumbuka huwa wanapanda ndege moja wakienda mikoani kwenye ziara,bus watapanda kwa route fupifipi wakiwa ma escot
Pia watanzania tuko mili 70 hata wakifa tutapata wengine tu
 
Ila kweli kwa zile nyuzi na comments za jana, sisi weusi tuna shida sana sana. Yaani Raisi wa Ujerumani kapanda basi na raia wake wala hawana shida. Waziri mkuu wa New Zealand, Raisi wa Italia, Raisi wa EU n.k... vile vile na huoni malalamiko yoyote. Ndio utajua wengi hatuna exposure, tuna uelewa mdogo, tunapenda ufahari. Hizi ni dalili za udumavu wa akili na sababu kubwa ni lishe duni kabla na baada ya kuzaliwa na wakati wa makuzi yetu.
Issue sio kupanda basi huko. Kwanini wakiwa huku wanajua na misafara ya magari ya kifahari zaid ya 80. Huku nchi ni maskn sana
 
Wewe ni miongoni mwa wale waliokosa lishe bora na kupelekea akili kudumaa.

Mnashindwa kutofautisha kitu kidogo tu msiba na official state visit.
Mbona hata kwenye misiba kunakua na misafara ya magari zaidi ya 60
 
Issue sio kupanda basi huko. Kwanini wakiwa huku wanajua na misafara ya magari ya kifahari zaid ya 80. Huku nchi ni maskn sana
Hilo ni swali la muhimu sana na ni wao viongozi wanapaswa kujitathmini baada ya tukio hilo la Uingereza. Lakini hatupaswi kuwalaumu waliowapandisha mabasi, shughuli yenyewe ilikuwa ni kubwa na mamia ya viongozi, isingewezekana kuwa na msafara wa kila kiongozi. Ni muda wa sisi pangu pakavu kujitathmini. Nilimuona waziri wa fedha akiwa ziarani mkoa mmoja wa kanda ya ziwa, msafara mkubwa na mbwembwe kibao na wakati huko U.S.A waziri wa fedha anapanda ndege, economy class bila shida yoyote
 
Back
Top Bottom