Muda niliopoteza kwa mtu asiyesahihi unanicost, je naweza pata mke tokea mtandaoni akawa mwema?

Muda niliopoteza kwa mtu asiyesahihi unanicost, je naweza pata mke tokea mtandaoni akawa mwema?

Ukimaliza kuchagua ukampata, itakuwa zamu yako kuchaguliwa kwa kutumia vigezo vya uliyemchagua! Hutoboi,
Kama selection na tolerance vimakushinda, zaa tu, share cost za kulea, ishi single.
Huenda wewe ndio una tatizo lisilovumilika na wanawake.
 
Mkuu na haya mapumziko, nakushauri kuchukua udongo tengeneza wako
 
Mwanamke wa sifa ulizotaja hawezi kukubali mwanamme lofa una hela? Sifa zako wewe mbona hujaweka? Unaweza kuwa na makalio makubwa nk mwanamke akawa hataki

Halafu kuna kitu unajificha hujaongelea kuwa asiwe na ukimwi wewe una ukimwi nini?
 
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,

Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,

Niliwai kuhapa kwamba sitakuja kutafta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndo hawa hawa wa mtandaoni!

Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndo maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kipanua wigo wa suala hili,

Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastan sitaki model, lakin angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitak mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhim sana

Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,

Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante
Unaonaje ukimuumba Huyo mtu.Kama wewe sio muumbaji acha kuweka vigezo,wewe ni nani mpaka uwe na vigezo!
Jioea mwenyewe ndio utapata vigezo kwako mwenyewe.Kuna mtu mmoja tu aitwaye wewe,hakuna wewe nje ya wewe" No duality within and outside yourself" Wewe ni mmoja tu na hatupata mwingine nje yako.
The happy and hate is within yourself,you can decide to choose one btn the two.No one can make you happy except yourself, otherwise elude yourself for something which you will never get.
Finding some one with that criteria is like finding 'tomorrow'!!
Don't fool yourself no one has ever seen tomorrow!!!
 
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,

Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,

Niliwai kuhapa kwamba sitakuja kutafta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndo hawa hawa wa mtandaoni!

Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndo maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kipanua wigo wa suala hili,

Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastan sitaki model, lakin angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitak mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhim sana

Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,

Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante
Unataka malaika wewe. Kwa walioumbwa na Mungu hayupo mwenye vigezo vyako hivyo vyote labda uumbe wako.
 
Nilicho jifunza kwenye maisha haya kuna mda ukiwa serious sana hufanikiwa, vitu vzr kuna wakati vinakuja tu
 
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,

Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,

Niliwai kuhapa kwamba sitakuja kutafta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndo hawa hawa wa mtandaoni!

Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndo maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kipanua wigo wa suala hili,

Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastan sitaki model, lakin angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitak mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhim sana

Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,

Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante
Halafu watu wabaguzi bwn: we Msumbwa wa Runzewe unataka mchumba kutoka Kagera au chotara na Uhanda ili iweje!!!?? Mara ohh awe mrefu, we ni mrefu? kuna Msumbwa mrefu? Nambie....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hiyo kitu inawashinda wanaume wengi, hatujiamini.
Hiyo ni nzuri kama unaomba namba afu hata hauna mategemeo ya kupata, ukipata sawa ukikosa sawa.
 
Khaa! Unamasharti makali mkuu...haya kila la heri umpate mwenza wa maisha ila usisahau kwa akili zako huwezi mshirikishe Mungu yeye amjua zaidi mke mwema atakupatia...
Yaani nimecheka
Kumbe wanawake hawana shida
Shida NI yeye aisee
Mwache aendelee kuangalia mwenye hvyo vigezo aendelee kukomeshwa mkuu
Hadi kabila!!!!
 
Back
Top Bottom