Muda si mrefu dada zetu watahitaji mume zaidi ya mmoja ili angalau kukidhi haja ya tendo!!

Kinachowaumiza wanaume kwa sasa ni uchumi duni na stress za maisha. Huwezi kumridhisha mwanamke wakati una buku tano mfukoni na hujui kesho utaamkaje.
😅🤣🤣😆😅😅 umeandika kama masihara ila kwa hisia na uhalisia yaani una libuku 5 afu upo juu ya kifua cha demu unasugua hujui kesho utaamkaje, hii imemake sense na hili ni bandiko lakubandika pale stand ya magufuli kila mtu asome (Tangazo hili).....😅😅😅😅
 
Kingine vijana wengi wanatumia Congo dust na kila aina ya Viagra,baada ya hapo unategemea nin mkuu
 
Mangi ingekuwa mimi nachukua kimoja na piga na miguu yote.
 
Mwanaume gani atakayekubali kushea Mke?

Me nikigundua si nawafyatua Ubongo tu mkafie mbele

Acheni mambo ya kufikirika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
we jamaa una vituko,Wanawake hawa wanao tumia P2 toka akiwa na 18 yrs hadi anamaliza chuo kikuu,bado anafanya mapenzi na zaidi ya wanaume tofauti tofauti 3-5 kwa mwezi kwa lengo la kupata fedha unategemea Mwanamke huyo umiridhishe kingono?.
Kwa uchunguzi wangu mdogo,Wanawake wengi kutoridhika kingono chanzo ni wao wenyewe na sio Wanaume.
 
we jamaa una vituko,Wanawake hawa wanao tumia P2 toka akiwa na 18 yrs hadi anamaliza chuo kikuu,bado anafanya mapenzi na zaidi ya wanaume tofauti tofauti 3-5 kwa mwezi kwa lengo la kupata fedha unategemea Mwanamke huyo umiridhishe kingono?.
Kwa uchunguzi wangu mdogo,Wanawake wengi kutoridhika kingono chanzo ni wao wenyewe na sio Wanaume.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akiamua kuwa tofauti na hivyo, anakua tyuuh.
 
Makasirikoooooo haya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwiiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…