Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She is him.Dada Felister ni mume wako kakusaidia kuandika hii thread au wewe ni wa kiume?
Amejitahidi kutaka kuandika kiume, ila I'd yake ni ya kikeDada Felister ni mume wako kakusaidia kuandika hii thread au wewe ni wa kiume?
Usijali Dada Saidi 😂Sikujua kaka Maria[emoji23][emoji23]
Mtalaka wako ni raia wa wapi?Yaaanj haya mambo yasikie tu kwa mwenzio aiseee sio poa yaani zamani nilikuwa nasikia mtu akijinyonga nilihisi huyo jamaa ni mbwa tu na mjinga sasa mimi sasa kiukweli mie nimekulia kwenye familia ya kishua yaani kishua haswa unajua wa kishua mimi ni wa kishua haswa yaani wakishua haswaa yaani ni wakishua
Kiukweli mambo yanabadilika maishani nilifungua kampuni yangu uingereza,Nairobi, Gaborone na nchi karibu tano lakini leo ninavyokuambia kampuni yangu imepigwa pini nchi zote hizo kwa madeni na utakatishaji pesa yaani sio poa wakuu kwa hapa nilipo nimebakiwa nyumba zangu 6 tatu ziko upanga,2 masaki na nyingine zipo mbezi Beach kwa yusuph achilia mbali zingine zilizoko London,New York na Indiana na zingine ziko Dubai kiukweli nashindwa kupata peace of mind baada ya mtalaka wangu kutaka kulipwa fidia ya bilioni 30 baada ya kuachana yaani natamani kujihang ila njia sahihi ni kujichoma moto
She is him.
Amejitahidi kutaka kuandika kiume, ila I'd yake ni ya kike
Usijali Dada Saidi [emoji23]
Mambo yangekuwa Hv mbona vurugu
Huyu nahisi atakuwa wakike, ila ameamua kujitoa ufahamu tu.Shida sio ID ya kike mkuu, yeye ni wa kike sasa?
Au she is him[emoji23]
Njemba imejisahau bhana.[emoji38][emoji38][emoji38]utaniuzi bure nijichome moto kama kaka Felister