Muda si mrefu najichoma moto, mambo yamekuwa sio poa

Muda si mrefu najichoma moto, mambo yamekuwa sio poa

Huyu jamaa anakoroga watu akili.

Kuna uzi alianzisha jana wa kumnanga yule dada wa bank aliyeuawa..kwenye huo uzi alikuwa anaitwa MALCON B.

Sasa amebadilisha jina na kujiita FELISTER.
Changamoto sana.
 
Huyu jamaa anakoroga watu akili.

Kuna uzi alianzisha jana wa kumnanga yule dada wa bank aliyeuawa..kwenye huo uzi alikuwa anaitwa MALCON B.

Sasa amebadilisha jina na kujiita FELISTER.
Hao ndio wala nauli zenu huko PM 😂😂😂😂
 
Yaaanj haya mambo yasikie tu kwa mwenzio aiseee sio poa yaani zamani nilikuwa nasikia mtu akijinyonga nilihisi huyo jamaa ni mbwa tu na mjinga sasa mimi sasa kiukweli mie nimekulia kwenye familia ya kishua yaani kishua haswa unajua wa kishua mimi ni wa kishua haswa yaani wakishua haswaa yaani ni wakishua.

Kiukweli mambo yanabadilika maishani nilifungua kampuni yangu Uingereza, Nairobi, Gaborone na nchi karibu tano lakini leo ninavyokuambia kampuni yangu imepigwa pini nchi zote hizo kwa madeni na utakatishaji pesa yaani sio poa wakuu kwa hapa nilipo nimebakiwa nyumba zangu 6 tatu ziko Upanga, 2 Masaki na nyingine zipo Mbezi Beach kwa yusuph achilia mbali zingine zilizoko London, New York na Indiana na zingine ziko Dubai kiukweli nashindwa kupata peace of mind baada ya mtalaka wangu kutaka kulipwa fidia ya bilioni 30 baada ya kuachana yaani natamani kujihang ila njia sahihi ni kujichoma moto.
Mhh ni ww tu
 
Huyu jamaa anakoroga watu akili.

Kuna uzi alianzisha jana wa kumnanga yule dada wa bank aliyeuawa..kwenye huo uzi alikuwa anaitwa MALCON B.

Sasa amebadilisha jina na kujiita FELISTER.
kuna nilichotaka kuandika ila baada ya kuona comment yako nimeghair,kumbe mtoa mada mpuuzi tu na atakua wa kiume huyu
 
Kujisikia sana...hizo ni juhudi za kasa ndani ya maji.....uhai haupimwi na mali.....HIYO NI LAANA.
 
wakuu mrejesho vipi maana miez karibia sita ishapita
 
Back
Top Bottom