Muda si mrefu najichoma moto, mambo yamekuwa sio poa

Huyu jamaa anakoroga watu akili.

Kuna uzi alianzisha jana wa kumnanga yule dada wa bank aliyeuawa..kwenye huo uzi alikuwa anaitwa MALCON B.

Sasa amebadilisha jina na kujiita FELISTER.
Changamoto sana.
 
Huyu jamaa anakoroga watu akili.

Kuna uzi alianzisha jana wa kumnanga yule dada wa bank aliyeuawa..kwenye huo uzi alikuwa anaitwa MALCON B.

Sasa amebadilisha jina na kujiita FELISTER.
Hao ndio wala nauli zenu huko PM 😂😂😂😂
 
Mhh ni ww tu
 
Huyu jamaa anakoroga watu akili.

Kuna uzi alianzisha jana wa kumnanga yule dada wa bank aliyeuawa..kwenye huo uzi alikuwa anaitwa MALCON B.

Sasa amebadilisha jina na kujiita FELISTER.
kuna nilichotaka kuandika ila baada ya kuona comment yako nimeghair,kumbe mtoa mada mpuuzi tu na atakua wa kiume huyu
 
Kujisikia sana...hizo ni juhudi za kasa ndani ya maji.....uhai haupimwi na mali.....HIYO NI LAANA.
 
wakuu mrejesho vipi maana miez karibia sita ishapita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…