Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Nafikiri Felister ni Jina la kiume kwa miaka hii.Dada Felister ni mume wako kakusaidia kuandika hii thread au wewe ni wa kiume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri Felister ni Jina la kiume kwa miaka hii.Dada Felister ni mume wako kakusaidia kuandika hii thread au wewe ni wa kiume?
Huna kazi ya kufanya? Tafuta kazi Acha kupoteza muda kuandika maupupu km hayaYaaanj haya mambo yasikie tu kwa mwenzio aiseee sio poa yaani zamani nilikuwa nasikia mtu akijinyonga nilihisi huyo jamaa ni mbwa tu na mjinga sasa mimi sasa kiukweli mie nimekulia kwenye familia ya kishua yaani kishua haswa unajua wa kishua mimi ni wa kishua haswa yaani wakishua haswaa yaani ni wakishua
Kiukweli mambo yanabadilika maishani nilifungua kampuni yangu uingereza,Nairobi, Gaborone na nchi karibu tano lakini leo ninavyokuambia kampuni yangu imepigwa pini nchi zote hizo kwa madeni na utakatishaji pesa yaani sio poa wakuu kwa hapa nilipo nimebakiwa nyumba zangu 6 tatu ziko upanga,2 masaki na nyingine zipo mbezi Beach kwa yusuph achilia mbali zingine zilizoko London,New York na Indiana na zingine ziko Dubai kiukweli nashindwa kupata peace of mind baada ya mtalaka wangu kutaka kulipwa fidia ya bilioni 30 baada ya kuachana yaani natamani kujihang ila njia sahihi ni kujichoma moto
Aliye karibu na felister pls amuwahishe hospitali.Yaaanj haya mambo yasikie tu kwa mwenzio aiseee sio poa yaani zamani nilikuwa nasikia mtu akijinyonga nilihisi huyo jamaa ni mbwa tu na mjinga sasa mimi sasa kiukweli mie nimekulia kwenye familia ya kishua yaani kishua haswa unajua wa kishua mimi ni wa kishua haswa yaani wakishua haswaa yaani ni wakishua
Kiukweli mambo yanabadilika maishani nilifungua kampuni yangu uingereza,Nairobi, Gaborone na nchi karibu tano lakini leo ninavyokuambia kampuni yangu imepigwa pini nchi zote hizo kwa madeni na utakatishaji pesa yaani sio poa wakuu kwa hapa nilipo nimebakiwa nyumba zangu 6 tatu ziko upanga,2 masaki na nyingine zipo mbezi Beach kwa yusuph achilia mbali zingine zilizoko London,New York na Indiana na zingine ziko Dubai kiukweli nashindwa kupata peace of mind baada ya mtalaka wangu kutaka kulipwa fidia ya bilioni 30 baada ya kuachana yaani natamani kujihang ila njia sahihi ni kujichoma moto
[emoji16][emoji16][emoji16]Basi utakuta maisha halisi ya mtoa mada ni choka mbaya haswaa yaaani ni choka mbaya haswaaaaaa mnuka vumbi na jasho la Dar na hizo nchi alizozitaja aliziona kwenye movies za akina van dame
Umeniwahi[emoji23][emoji23]
😀😀😀muhaya haswaHuyu ni mwanaume tena kama sikosei ni wa kihaya
Sio kwa tambo hizo kaka Felister
Nafikiri Felister ni Jina la kiume kwa miaka hii.
Yaani awahamishie matatizo matabibu?Huyo ni wa kufungwa kamba barabara.Atandikwe bakora nyingi za shingo na aonywe na aache kuwaza na kuandika ujinga.Bakora nyingi!Aliye karibu na felister pls amuwahishe hospitali.
Msongo huwa unaleta mauaji pia
Uoni haya kuandika uongo?Yaaanj haya mambo yasikie tu kwa mwenzio aiseee sio poa yaani zamani nilikuwa nasikia mtu akijinyonga nilihisi huyo jamaa ni mbwa tu na mjinga sasa mimi sasa kiukweli mie nimekulia kwenye familia ya kishua yaani kishua haswa unajua wa kishua mimi ni wa kishua haswa yaani wakishua haswaa yaani ni wakishua
Kiukweli mambo yanabadilika maishani nilifungua kampuni yangu uingereza,Nairobi, Gaborone na nchi karibu tano lakini leo ninavyokuambia kampuni yangu imepigwa pini nchi zote hizo kwa madeni na utakatishaji pesa yaani sio poa wakuu kwa hapa nilipo nimebakiwa nyumba zangu 6 tatu ziko upanga,2 masaki na nyingine zipo mbezi Beach kwa yusuph achilia mbali zingine zilizoko London,New York na Indiana na zingine ziko Dubai kiukweli nashindwa kupata peace of mind baada ya mtalaka wangu kutaka kulipwa fidia ya bilioni 30 baada ya kuachana yaani natamani kujihang ila njia sahihi ni kujichoma moto