mpolekabisa
Senior Member
- Oct 18, 2023
- 161
- 225
Wacha wee!! Sasahivi ni mwendo wa Slogan tu.Simba ni TOP CLASS!! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM!! Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary!! Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!!
Haya kuwa kama fisi akusubiri mkono wa binadamu udondokeSimba ni TOP CLASS!! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM!! Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary!! Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!!
Sio kwa timu hii ninayoiona mimi. Simba kwanza walihitaji kuongeza wachezaji wazuri kuongeza nguvu waliopo. Ni bahati mbaya aliyekuwa bora ni Che Malone, wengine hamna kitu. Wachezaji wa Simba wamechoka, uwezo umepungua kwa msimu huu wanapoteza tena.Simba ni TOP CLASS!! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM!! Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary!! Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!!
Asante kwa kujitoa ufahamu!! Unafikiri walikosea walioiweka Simba miongoni mwa timu bora 8 kushiriki mashindano ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE? Simba ni TOP CLASS!!Class IPI wewe?
Form four failure nayo ni class, maana kila mkijipapatua mnaishia pale pale ,yaani hata mkibebwa.
UTOPOLO bana!!MAKOLO bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
UTOPOLO bana!!
Vice versa is true.Simba hua Bora pale Yanga inapokua dhaifu... Lakini Simba haiwezi kutawala wakati Yanga akiwa vizuri
Sio kwa mwenyekiti mangungo.Simba ni TOP CLASS! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM!
Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary. Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!
Kinacho waponza ni kujivika ukubwa ambao ki uhalisia hamna wala hampo hio levelSimba ni TOP CLASS! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM!
Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary. Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!
wacha we!!!Simba ni TOP CLASS! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM!
Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary. Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!
haya ndiyo maneno. Kulikuwa na tatizo kwenye benchi la ufundi, mbinu kidogo hazikutosha pia physical fitness ilikuwa duni, wale wapambaji wao walikuwa wanafanya mazoezi yao binafsi - Kibu mkandaji, Mohamed Hussein. Wengine waliotegemea mazoezi ya kocha ndiyo hao dk 60 ulimi njeSimba ni TOP CLASS! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM!
Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary. Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!