Muda tunaopoteza katika msururu/foleni za magari, Dar es Salaam

Hapo tutafika soon!! Wanaanza Ubungo na Tazara, sasa hv wapo kwenye kipindi cha kuandaa michoro!!
Soon? ili tutoke Dar kwenda mikoani, hao wanaochora washauri wachore Ubungo iwe hivi.

 

Attachments

  • image.jpg
    18.4 KB · Views: 163
kuna umuhimu wa kurudi kijijini sasa dar duuu
 
Waendeshaji magari wote Dar hawafuati sheria na hawana discipline barabarani. Kila mtu ana haraka. Kila mtu anatanua. Kila mtu anachomekea. Hata zijengwe flyovers kama za Texas ama beltways za DC hazitasaidia hadi watu wafuate sheria
 
Wafanyakazi wengi wanaokwenda posta/kariakoo hutumia karibia masaa 4 kwa siku kwenye foleni
 
Tangu nianze kufanya kibarua posta, leo nime experiance foleni kubwa sana. Najiuliza nini sababu?

Kwan mnacho ng'ang'ania hapo dar n nn utafkr hamna makwenu? kla m2 akaendeleze mji wao, karbuni morogoro mji kasoro foleni
 
Money Stunna...pole sana mkuu kwa foleni hiyo lakini nadhani hakuna means tena kwa sasa zaidi ya uvumilivu tu.
 
Last edited by a moderator:
nasemaaaaa tenaaaa siyo lazimaaaaa kila mtu awe anaenda na gari lake town paki home au liwache sehemu ukirudi lipitie fool stop......tumieni daladalaaaaaa ila kila mtu mbishi anataka aonekane na gari kazini au town tupande daladala tu .....tupunguze foleni
 

Mkuu nadhani ulimaanisha FULL stop and not otherwise...lakini tatizo liko pale pale, Je, sehemu za maegesho ya magari(parking) zipo? kama zipo, zipo za kutosha? kama zipo za kutosha vipi gharama zake(kwa saa/siku)?
 
Mkuu nadhani ulimaanisha FULL stop and not otherwise...lakini tatizo liko pale pale, Je, sehemu za maegesho ya magari(parking) zipo? kama zipo, zipo za kutosha? kama zipo za kutosha vipi gharama zake(kwa saa/siku)?
acha gari lako sheli au sehemu ya usalama wape vojana 500 tu ilimradi sehemu iwe safe...nakubali hakuna sehemu ya maegesho maana nchI au serikalI hii hawajui kuplan mambo kama hayo...
 
acha gari lako sheli au sehemu ya usalama wape vojana 500 tu ilimradi sehemu iwe safe...nakubali hakuna sehemu ya maegesho maana nchI au serikalI hii hawajui kuplan mambo kama hayo...

Sasa issue inakuja ni sheli(Gas filling stations) gani na ngapi zitakuruhusu wewe kwa shida zako kuegesha gari pale, zitaruhusu magari mangapi? Then wapi ni sehemu ya usalama mfano hapa Dar Es Salaam?
 


Mkuu hii ndiyo 'Darisalama'.
 

Hahaha..Magufuli kazi anayo!
 

Kuna ukweli hapa.

Lakin maliasili,kilimo na maji nazo ni tangible au kwakuwa humkubali na humpendi basi hata lile jema linakuwa baya????

Kilimo, maji na Maliasili kote ni yale yale, ni aibu nchi inayozungukwa na maziwa, mito, bahari na tuna mibaraka ya mvua kuwa na tatizo la maji, haoa Dar Es Salaam yenyewe kuna shida ya maji unategemea nini?

Utalii na Maliasili ndiyo tabu kabisa hakuna lolote Tembo/Ndovu walimalizwa sasa wakahamia kwa Twiga wakiisha sijui wataenda wapi!

sirikambi, si suala la kumpenda ba kutompenda nani hapa kwenye barabara tusilete mchezo, ni vioja tupu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…