bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,071
kipimo chetu cha maendeleo ni foleni. Inaonekana tumeendelea hasa ktk awamu hii ya nne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni wandugu mlioko kwenye foleni. Hiyo ndio 'bongo flavour'Toka saa 11 nipo hapa karume natoka maeneo ya kariakoo ila hii foleni sijawai kuiona kwa miaka yote nlo kaa hapa dar ni hatari magari hayaendi wala kuja..na ukiongezea hii mifumo ya kupeana likizo za bila mipango sijui kma matatizo kama haya yatakuja kua solved hapa nchini.
Salaam wakuu.
Kwa wale wakazi wa Dar es Salaam, na maeneo ya jirani kwa leo(15.01.2014) tumeweza kushuhudia foleni ilivyoweza kuwa kubwa, kiasi kwamba barabara takribani zote toka asubuhi muda saa kumi na mbili na nusu hivi hadi muda huu, barabara zilikuwa "hazipitiki'..Sijajua kama ni "wikiendi" ndefu(kuambatana na mapumziko na siku kuu, au labda kufunguliwa kwa shule,n.k.
Lakini hii ikanifanya kutafakari muda tunaoupoteza tuwapo katika foleni. Mfano, iwapo mtu anapoteza masaa mawili(2) kwa siku yaani wastani wa masaa kumi kwa wiki, mtu huyu hupoteza masaa 500 kwa mwaka ambayo ni sawa na takribani siku 21(WIKI TATU).
Je, kwa wale wenye mizunguko zaidi, au wenye kupoteza masaa zaidi ya mawili kwa siku, muda huu tunautambua?
Kwa wale tulio/tunaoishi Dar es Salaam kwa miaka kadhaa tumepoteza miaka mingapi?
Ukiona foleni kubwa hiyo ni indicator ya kukua uchumi.
Yaani leo mjini kulikuwa ni majanga...mtu unatumia masaa mawili toka airport mpaka posta...
Duh... Poleni sana, hamieni huku ushagooo!!!