Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
- Thread starter
- #221
Unachotaka ni kipi kwani.Hatutapeliwi ukizunguka dunia ndio utajua kuna dini na utumwa. Waarabu wanakimbilia Ulaya na Marekani sio Dubai Wala Saudia. Nchi hii imeuzwa zaidi na wavaa makobazi kuanzia Mwinyi, Kikwete na Mama. Bugando na , KCMC imejengwa na waislamu ? Nitajie Hospitali au NGO kubwa ya waislamu au waarabu inayosaidia Tanzania. Amkeni aisee matajiri wenu wanawekeza kwenye mpira tu. Kuna Ka NGO kalikuwa kanalipia watu mahari na nyie mkapiga makofi juu 🤣🤣🤣🤣. Unafurahi kulipiwa mahari kama mahari unalipwa utaweza kumhudumia mke na watoto ? Aisee Tanzania tuna safari ndefu tumemuuzia Dubai bandari zote . Wakati Dubai hawana mafuta wanaendesha uchumi kwa kuikopa Abu Dhabi.
Unachozungumzia kuhusu bandari na Dubari ndio ushahidi kwanini wawekezaji kutoka nchi za kiarabu hawaonekani Tanzania.Nyinyi mna roho mbaya na uhasidi mkubwa kwa waislamu na mnatoa vipaumbele kwa wazungu japo mwisho wa yote huwa wanaleta ushoga.Mnaona bora huo ushoga kuliko kuachia pesa za waarabu zikawekezwa Tanzania.
Mitambo ya Dowans ilipomilikiwa na mwekezaji kutoka Oman ikazushiwa mengi na mwishowe iliponunuliwa na mmarekani ikatajwa haina tatizo lolote.